Acha uongo wew.....[emoji23][emoji23][emoji23]Watanzania wengi wana kaushamba ka kutoa maoni kwenye mitandao ya kijamii.
Sehemu Pekee wanacomment kwa adabu ni post za Vifo vya ajali hususan ajali za barabaran
Lakini post nyingine zote wanatoa maneno ya chuki na roho mbaya
Wenzetu ulaya wanacomment kwa adabu hâta kwa wale wacheza picha za ngono etc.
Mkuu kuna uzi nilichangia dogo mmoja kanianzia matusi mwanzo mwisho kisa kumjadili Pope na ruhusa ileAngalia jinsi waafrica mashariki wenzetu walivyotuacha mbali kwenye uelewa hapo ndiyo utajua kuwa hii nchi kuna laana kubwa Kwa watu wake angalia jinsi maisha ya DAR watu wanavyoishi utapata jibu
Kuna mtandao huwa nasoma unaitwa QUORA DIGEST huu mtandao wenzetu wanasaidiana Sana kupeana elimu Kwa maswali yanayoulizwa yaani kifupi yale maswali ingekuwa kwa hapa kwetu majibu yake ingekuwa matusi,kashfa na kejeli za kila namna...Mkuu kuna uzi nilichangia dogo mmoja kanianzia matusi mwanzo mwisho kisa kumjadili Pope na ruhusa ile
Sasa njoo kwenye mitandao mingine angalia watu wanavyohibizana kwa hoja
Unakuta hoja inaongelea mpira mada itahamishwa na kuwa matusi
Tatizo ni maadili na kutokujua maana ya mitandao
Mtu anashindwa kuchangia anaamua kuhamisha mada
Kuna siku nilimwambia dogo mmoja kama lugha inapanda aende Tapatalk kuna hobbies za kila aina mpaka kuna forums zingine ni kwa ajili ya group la wenye private aircraft, sasa humo naona angewaita wote waongo sijui
Umaskini pia mkuu, hata Dar ni kijiji kikubwa tu ukilinganisha na majiji duniani
Yaani kama nawaita vile 😄
Well saidMalezi ya mtoto wa kitanzania yamejaa maneno ya kudunisha, matusi na kejeli toka kwa wazazi, ndugu, walimu na majirani.
Mtoto akiuliza swali, anaambiwa "n'tolee ujinga wako hapa" au "bichwa kubwaaa, akili huna".
Kimsingi, watanzania wengi wako traumatized na childhood experiences.
Je utategemea kupata majibu ya upendo toka kwa watu waliokuzwa kwa kejeli, chuki, masimango n.k?
Naujua mkuu na ninausoma piaKuna mtandao huwa nasoma unaitwa QUORA DIGEST huu mtandao wenzetu wanasaidiana Sana kupeana elimu Kwa maswali yanayoulizwa yaani kifupi yale maswali ingekuwa kwa hapa kwetu majibu yake ingekuwa matusi,kashfa na kejeli za kila namna...
Bado kuna shida Sana ya kuwa na ustaarabu kwenye Jamii yetu
Inaonekana wana hasira Sana.Tabia ya kujiona wao malaika, akikosea mtu full kumkosoa as if wao hawakoseagi,
Halafu kinachofanya mim nisiwaelewe ni matusi makubwa makubwa wanayoyatoa
Uko sahihi. Tanzania tuna tatizo la elimu. Nadhani pia tulifanya makosa makubwa kuamua kutupa kiingereza na kutumia kiswahili. Kiswahili ni lugha ambayo haijitoshelezi hivyo watanzania wengi inakuwa vigumu kupata knowledge mpya.Angalia jinsi waafrica mashariki wenzetu walivyotuacha mbali kwenye uelewa hapo ndiyo utajua kuwa hii nchi kuna laana kubwa Kwa watu wake angalia jinsi maisha ya DAR watu wanavyoishi utapata jibu
Hivi jamani nchi ambayo raia wake waliomaliza chuo kikuu asilimia 90 hawasomi vitabu vya kuongeza maarifa au hata novel tutategemea nini? Nakuapia kuna dada mmoja kapiga degree ya masters Mlimani lakini ukimpa gazeti la kiingereza akisoma haelewi. Vitu anavyoweza ni hizi hadithi za kiswahili za akina Shigongo.Naujua mkuu na ninausoma pia
Kuna mambo mengi sana na mijadala ya kila aina
Sisi sio utoto maana hata majitu makubwa unaona yanatukana yakihojiwa kitu
Hukumbuki mzee makamba alivyotaka kumzaba yule journalist mpaka nikasahangaa
Ustaarabu na kujibu hoja kwetu unaanza mbali sana na watoto na vijana wanaiga
Ila anaetukana unampoza tu na kumwambia umepata nini hapo kwa matusi likes ngapi
kwa sababu most ya watu wanaoomba ushauri wanaomba kwa mzaha au wanakuwa wanawapima watu.Watanzania wengi wana kaushamba ka kutoa maoni kwenye mitandao ya kijamii.
Sehemu Pekee wanacomment kwa adabu ni post za Vifo vya ajali hususan ajali za barabaran
Lakini post nyingine zote wanatoa maneno ya chuki na roho mbaya
Wenzetu ulaya wanacomment kwa adabu hâta kwa wale wacheza picha za ngono etc.
Sio woteWatanzania wengi wana kaushamba ka kutoa maoni kwenye mitandao ya kijamii.
Sehemu Pekee wanacomment kwa adabu ni post za Vifo vya ajali hususan ajali za barabaran
Lakini post nyingine zote wanatoa maneno ya chuki na roho mbaya
Wenzetu ulaya wanacomment kwa adabu hâta kwa wale wacheza picha za ngono etc.
Mkuu huko Kuna tatizo kubwa sana na elimu ni ya kukaririHivi jamani nchi ambayo raia wake waliomaliza chuo kikuu asilimia 90 hawasomi vitabu vya kuongeza maarifa au hata novel tutategemea nini? Nakuapia kuna dada mmoja kapiga degree ya masters Mlimani lakini ukimpa gazeti la kiingereza akisoma haelewi. Vitu anavyoweza ni hizi hadithi za kiswahili za akina Shigongo.
Yaani wangekuwa wanapata life ban hao wasiingie kabisaUlimbukeni ndio tatizo....tunajikinga kifua dhidi ya kutolifahamu jambo Kwa kuwa wabishi, matusi, kejeli. Maneno tunayopenda mtu mzima ovyo, kubwa jinga...Yani tukishindwa hoja, tusi
Naona leo wameamka na simon msuva.. wanatoa povu kama wao ndio wanaomlipa mshahara! Kisa eti kwakuwa alikataa kuchezea timu zao za kariakooTabia ya kujiona wao malaika, akikosea mtu full kumkosoa as if wao hawakoseagi,
Halafu kinachofanya mim nisiwaelewe ni matusi makubwa makubwa wanayoyatoa