KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Tatizo la changamoto ya afya ya akili ni kubwa kuliko tunavyofikiria.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WELL SAID.Malezi ya mtoto wa kitanzania yamejaa maneno ya kudunisha, matusi na kejeli toka kwa wazazi, ndugu, walimu na majirani.
Mtoto akiuliza swali, anaambiwa "n'tolee ujinga wako hapa" au "bichwa kubwaaa, akili huna".
Kimsingi, watanzania wengi wako traumatized na childhood experiences.
Je utategemea kupata majibu ya upendo toka kwa watu waliokuzwa kwa kejeli, chuki, masimango n.k?
SAHIHI.Ni ugeni wa mitandao, yaani unamwandikia mtu mwingine asome hoja huku mtu huyo HAMFAHAMIANI ! inahitaji kuwa na malezi ya kizazi cha kuandikiana BARUA.
Kizazi cha kuandikiana barua , kununua bahasha , karatasi au airform na stamp kusafiri hatua kadhaa kwenda Posta kisha kusubiria majibu baada ya siku kadhaa .
Ilitosha kujifundisha ADABU kwa hii mitandao.
😭😭😭😭😭😭Malezi ya mtoto wa kitanzania yamejaa maneno ya kudunisha, matusi na kejeli toka kwa wazazi, ndugu, walimu na majirani.
Mtoto akiuliza swali, anaambiwa "n'tolee ujinga wako hapa" au "bichwa kubwaaa, akili huna".
Kimsingi, watanzania wengi wako traumatized na childhood experiences.
Je utategemea kupata majibu ya upendo toka kwa watu waliokuzwa kwa kejeli, chuki, masimango n.k?
CHAIWatanzania wengi wana kaushamba ka kutoa maoni kwenye mitandao ya kijamii.
Sehemu Pekee wanacomment kwa adabu ni post za Vifo vya ajali hususan ajali za barabaran
Lakini post nyingine zote wanatoa maneno ya chuki na roho mbaya
Wenzetu ulaya wanacomment kwa adabu hâta kwa wale wacheza picha za ngono etc.
Komwe la mama mkwe kama IST 😂😂😂
Msongo wa Mawazo ndo chanzo kikuuWatanzania wengi wana kaushamba ka kutoa maoni kwenye mitandao ya kijamii.
Sehemu Pekee wanacomment kwa adabu ni post za Vifo vya ajali hususan ajali za barabaran
Lakini post nyingine zote wanatoa maneno ya chuki na roho mbaya
Wenzetu ulaya wanacomment kwa adabu hâta kwa wale wacheza picha za ngono etc.
Mtoto akiuliza swali, anaambiwa "n'tolee ujinga wako hapa" au "bichwa kubwaaa, akili huna".
Kimsingi, watanzania wengi wako traumatized na childhood experiences.
Je utategemea kupata majibu ya upendo toka kwa watu waliokuzwa kwa kejeli, chuki, masimango n.k?
Ni ngumu kulitibu KUNDI LA NYUMBU MILIONI 60 👀I cement this! Na huko tuendako ndipo pabaya zaidi. We are all surrounded by traumatized people, who have nothing good to say about others.
Mbaya zaidi wengi wetu tuko very opinionated, hatuna ufahamu wa jambo gani la kulitolea opinion na jambo la kumind our business. Yaani mtu anaweza kukomaa kutoa mawazo yake kumkosoa msanii lakini mwanasiasa akifanya blunder hapa wanapita kama hawaoni.
Tujifunze jamani, kama hujaombwa maoni, kama hujaalikwa na kama kitu hakihusu KODI yako, sio lazima kuwa opinionated, tujitahidi kujua wapi pakukomaa wapi pakufuata mambo yetu.
Hatufahamu tofauti ya kutoa maoni na kufanya bullying.
Kazi kubwa sana inapaswa ifanyike juu ya jamii ya waTz.
Wewe jamaa kiboko ninyi ndio mlitakiwa muwepo wengi humu JF watu wanafurahi sio matusi tu mtu anakutukana ukimwambia mimi situkani anakushangaa sana anabaki kusema Niteme tu..