Kwanini watanzania wanalichukia Nissan Serena?

Kwanini watanzania wanalichukia Nissan Serena?

Mtu Poa 2013

Senior Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
105
Reaction score
65
Habari zenu. Nataka kuulizq nimegundua kuwa watu wengine walifuata mkumbo wa kununua nissan Serena lakini siku za hivi karibuni zi.ekuwa hazinunuliwi na resale value yake imeshuka sana. Ndio imekuwa kawaida kusikia watu wakiuza Nissan Serena zao kwa bei chee mfano sh 5m nk.

Zimeshuka thamani kama brevis nk

Kwa anayejua ni kwanini Nissan Serena zimeshuka resale value yake?
 
Weka picha au uzi ufutwe... Af sio Nissan hiyo tu kuna chuma kwajina linaitwa Xtrail yan ni habari nyingine kabisa
 
Nissan hazitaki upumbavu wa kutozingatia service

Ukitaka superior performance, features na comfort tumia Nissan. Ila uzingatie service.

Angalizo: service sio kuweka oil ya Total 20W-50 na lubex kwenye gearbox. Ni zaidi ya hayo
 
Mwanangu mmoja alininua. Ni mtu wa masafa kwahiyo akawa analitumia sana n sometimes rental. Aisee.

1. Transmission ya CVT
2. Alternator yake haitengezeki hafu gharama kinoma. Hii kwa gari za zamani ata hybrids.
3. Nissan kwenye hybrid hayupo vizuri (hizi za 2010+)
4. Cooling system inasababisha overheating.
5...

Sema ukiona neno NISSAN hafu mbele ukaona CVT transmission, KIMBIA.

Sifuti hiyo kauli.
 
Limekaa kikikekike mwanamke ndio linampendeza mwanaume unatakiwa uendeshe landlover with full AC MANUAL TRANSMISSION
 
Habari zenu. Nataka kuulizq nimegundua kuwa watu wengine walifuata mkumbo wa kununua nissan Serena lakini siku za hivi karibuni zi.ekuwa hazinunuliwi na resale value yake imeshuka sana. Ndio imekuwa kawaida kusikia watu wakiuza Nissan Serena zao kwa bei chee mfano sh 5m nk.

Zimeshuka thamani kama brevis nk

Kwa anayejua ni kwanini Nissan Serena zimeshuka resale value yake?
Nliuza yangu kwa 4M😂
 
Back
Top Bottom