Kwanini watanzania wasitumie Akili Mnemba (AI) katika comment za english kuongeza ubora wa kizungu

Kwanini watanzania wasitumie Akili Mnemba (AI) katika comment za english kuongeza ubora wa kizungu

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Siku hizi Kuna tool ya kivivu na ya bure inaitwa AI, inakurahisishia vitu vingi ikiwemo kizungu. Umezuka mjadala mkubwa sana msanii au socialist mmoja bongo ambaye alikuwa mke wa Msemaji wa club moja ya Tanzania ambayo imejaa masupastaa au galacticos, aliyeandika bonge la broken unnecessarily.

Siku hizi wazungu wamekuja na kitu kinaitwa AI au artificial intelligence apps, yaani ukiandika broken inafanya correction then unaenda. Kupest kwenye comment baada ya muda unazoea unakuja unajua automatic.

Kuna app wanalipiwa nyingine bure, mfano nimejaribu app moja ya browser ni free online inafanya kazi ya Grammer correction ,nikapaste comment yangu kuwa 'I will eating yesterday " ikachakata ikaja na jibu kuwa Inapaswa kuwa " I was eating yesterday " Sasa basi tujiongeze tupunguze aibu.

Maofisi mengi ya serikali kwakuwa wanaoperate na documents na barua za kizungu na riport wanatumia tool hii kurahisisha maisha, japo wengi bado wapo shalom.

AI itasaidia wengi sana, hata serikali, kukijua kingereza, na mambo mengine mengi.

Hizi AI imefika wakati unaandika swali lolote gumu yenyewe Ina solve inakupa jibu
 
Upo sahihi sana mtoa mada ila unasahau jambo muhimu sana.

AI itakusaidia kuongea kizungu na itafika muda wa kuulizwa jambo ulilosaidiwa na huyo AI, bahati mbaya hutajua kama swali unaloulizwa limetokana na comment yako na muda wa kumwambia aliyekuuliza swali haupo!.
 
AI ikubebe kwenye kunyoosha mombo.

Wewe AI ibebe kwenye kutetea ilichokuandikia.

Ubaya Ubwela[emoji2][emoji2]
 
Siku hizi Kuna tool ya kivivu na ya bure inaitwa AI, inakurahisishia vitu vingi ikiwemo kizungu. Umezuka mjadala mkubwa sana msanii au socialist mmoja bongo ambaye alikuwa mke ...
Wengi wao hawana upeo huo, bado sana. Mpaka mtu awafunguwe macho na masikio.
 
I know u have to learn how to master a certain language, don't depent on AI apps
It is essential to understand that mastering a particular language requires dedicated effort and practice; reliance on AI applications should be minimized.

Hapo nimeboresha kizungu changu Kwa kutumia AI
 
It is essential to understand that mastering a particular language requires dedicated effort and practice; reliance on AI applications should be minimized.

Hapo nimeboresha kizungu changu Kwa kutumia AI
Imekaa vizuri utadhani mi mzungu
 
Mnemba ndio kitu gani? Nani anatunga majina kwa kubuni?

Artificial - Sanifu

Intelligence -Werevu

WerevuSanifu.

Sasa hii kusema akili mnembe sijui, ndio imetokea wapi sasa? [emoji848]
 
Siku hizi Kuna tool ya kivivu na ya bure inaitwa AI, inakurahisishia vitu vingi ikiwemo kizungu. Umezuka mjadala mkubwa sana msanii au socialist mmoja bongo ambaye alikuwa mke wa Msemaji wa club moja ya Tanzania ambayo imejaa masupastaa au galacticos, aliyeandika bonge la broken unnecessarily.

Siku hizi wazungu wamekuja na kitu kinaitwa AI au artificial intelligence apps, yaani ukiandika broken inafanya correction then unaenda. Kupest kwenye comment baada ya muda unazoea unakuja unajua automatic.

Kuna app wanalipiwa nyingine bure, mfano nimejaribu app moja ya browser ni free online inafanya kazi ya Grammer correction ,nikapaste comment yangu kuwa 'I will eating yesterday " ikachakata ikaja na jibu kuwa Inapaswa kuwa " I was eating yesterday " Sasa basi tujiongeze tupunguze aibu.

Maofisi mengi ya serikali kwakuwa wanaoperate na documents na barua za kizungu na riport wanatumia tool hii kurahisisha maisha, japo wengi bado wapo shalom.

AI itasaidia wengi sana, hata serikali, kukijua kingereza, na mambo mengine mengi.

Hizi AI imefika wakati unaandika swali lolote gumu yenyewe Ina solve inakupa jibu
kwann tutumie kingereza ??
ushaona taifa lililo civilised linatumia lugha ya nchi nyingine
 
Mnemba ndio kitu gani? Nani anatunga majina kwa kubuni?

Artificial - Sanifu

Intelligence -Werevu

WerevuSanifu.

Sasa hii kusema akili mnembe sijui, ndio imetokea wapi sasa? [emoji848]
Hapo kweli haijatunogea
 
Solution watu wakienda Shule wa sacrifice muda wao kwenye kujifunza lugha.
 
Back
Top Bottom