Kwanini watanzania wasitumie Akili Mnemba (AI) katika comment za english kuongeza ubora wa kizungu

Kwanini watanzania wasitumie Akili Mnemba (AI) katika comment za english kuongeza ubora wa kizungu

Mnemba ndio kitu gani? Nani anatunga majina kwa kubuni?

Artificial - Sanifu

Intelligence -Werevu

WerevuSanifu.

Sasa hii kusema akili mnembe sijui, ndio imetokea wapi sasa? [emoji848]

Artificial ni bandia. Hiyo sanifu sijui umeitoa wapi?

Sanifu ni standardized.

Swahili sanifu - standardized Swahili.

Au ulitaka Kiswahili sanifu - artificial Swahili kwa tafsiri yako?
 
Ukiangali comment ya yule mrembo tayari imepitia kwenye AI. AI enhances ulichoweka haiji na vitu out of nowhere, so her input was wrong entirely.
 
Ukiangali comment ya yule mrembo tayari imepitia kwenye AI. AI enhances ulichoweka haiji na vitu out of nowhere, so her input was wrong entirely.
Inafanya correction vizuri tu
 
Back
Top Bottom