Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Hizi betting zinaondoa uzalendo kabisa..Watu washabet na kuipa Uingereza ushindi, halafu unataka waishangilie Senegal?
Mungu anusuru vizazi vyetu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi betting zinaondoa uzalendo kabisa..Watu washabet na kuipa Uingereza ushindi, halafu unataka waishangilie Senegal?
colonial mindset...mwafrica hatajikomboa hata siku moja. Ingekuwa ni nchi ya kiafrica iliyotawaliwa na uingereza inacheza na ufaransa, waafrica katika nchi zinazozungumza kifaransa wangeishangilia ufaransa na si waafrica wenzao.Nimepata wakati mgumu sana hapa Tandika Mwembeyanga, hasa baada ya kujikuta ni mimi tu ndiye nilikuwa Shabiki wa Senegal, vijana wengi wameshabikia wazungu!
Unadhani ni kwanini hali hii?
Thread closed.Wamebeti kuwa Uingereza inashinda.
Kwa sasa hakuna mapenzi bila maslahi.
Ninkwa vile Ile mechi kwa Brazil haikuwa na impact yote zaidi ya sifa tuMimi binafsi nilikuwa nawasupport Senegal (Sababu ya uAfrica wetu) ingawa toka moyoni nilikua najua fika kabisa Senegal hawawezi kutoboa mbele ya vijana wa King Charles licha ya wenzao Cameroon kuwafunga Brazil majuzi.
Nadhani tumeshuhudia kilichotokea.
Ukweli uko wazi.Watu ambao hawajitambui wanafanya mambo kwa mazoea hawawezi kuifunga uingereza.uingereza itafungwa na timu ama za Ulaya ama america kusini basi.Wazungu wanaipenda chadema, hivyo ndiyo sababu wengi wameshabikia Uingereza. Unajua kwa nini watanzania wengi walifurahi Ubeleji (Belgium) kutolewa mapema?
Hatuna hata ubalozi wa Senegal nchini, ila ubalozi wa Uingereza upo, hakuna diaspora ya watanzania Senegal, ila Uingereza wapoWana uhusiano wa muda mrefu kuanzia ukoloni mpaka premier league, Senegal mmmmhhh zaidi ya ngozi nyeusi hata ukiwauliza waitafute kwenye ramani wengi hawajui
Hata Tunisia ingekua mtoano wasingeifunga FranceHata Cameroon ingekuwa mtoano wasingeifunga Brazil🇧🇷
Vipi kuhusu Morocco aliyefunga Ubelgiji na Canada?Hata wewe mleta mada kila thd humu hua una comment "Mungu wabariki wazungu" leo hii eti na wewe unawashangaa wenzako?
Watu wanaitafuta furaha ilipo,huwezi kushabikia team za Afrika labda uwe unatafuta maumivu ya nafsi yako tu.
Morocco ametufanya sisi Wazalendo tufurahi kwa vile analiwafunga watu ambao wanasapoti wabaya wetu katika madini:-Vipi kuhusu Morocco aliyefunga Ubelgiji na Canada?
Manamba na askari kikoNimepata wakati mgumu sana hapa Tandika Mwembeyanga, hasa baada ya kujikuta ni mimi tu ndiye nilikuwa Shabiki wa Senegal, vijana wengi wameshabikia wazungu!
Unadhani ni kwanini hali hii?
Anaenda kufa kwa mfaransaMimi binafsi nilikuwa nawasupport Senegal (Sababu ya uAfrica wetu) ingawa toka moyoni nilikua najua fika kabisa Senegal hawawezi kutoboa mbele ya vijana wa King Charles licha ya wenzao Cameroon kuwafunga Brazil majuzi.
Nadhani tumeshuhudia kilichotokea.
Burudani ya mpira imeharibiwa sana na hii mambo na bettingWamebeti kuwa Uingereza inashinda.
Kwa sasa hakuna mapenzi bila maslahi.
Uingereza walikuwa wakoloni wenye wema na sisi kuliko ccm. Lazima tuwashabikie kama shukrani.Nimepata wakati mgumu sana hapa Tandika Mwembeyanga, hasa baada ya kujikuta ni mimi tu ndiye nilikuwa Shabiki wa Senegal, vijana wengi wameshabikia wazungu!
Unadhani ni kwanini hali hii?
Aiseee !!Uingereza walikuwa wakoloni wenye wema na sisi kuliko ccm. Lazima tuwashabikie kama shukrani.