Kwanini Watanzania wengi wanataka IGP Sirro aondolewe? Utendaji wake haufai?

Kwanini Watanzania wengi wanataka IGP Sirro aondolewe? Utendaji wake haufai?

CHADEMA wrote ndio wamemchukia ghafla IGP Sirro kisa kamkamata mfalme wao na sio wa Tanzania wote
 
Mkuu wa jeshi la polisi ndio msimamzi mkuu wa shughuli za Jeshi hilo kwa kila namna, kuanzia utendaji, nidhamu na hata kufanya kazi kwa misingi ya haki.

Kila kona sasa hivi inaonekana wananchi hawana imani na IGP Sirro.

Je, ameshindwa kusimamia polisi kutenda haki?

Huyu mama Suzan Kaganda ndio atatenda haki?

Malalamiko kwa Sirro ni mengi juu ya kutetea uovu wa askari. Wanasiasa, wakulima na hata wananachi wa kawaida wanalalamika mitaani. Je, ni kweli hafai?
Uongo wala hamchoki. Huyo sirro amewamudu kisawasawa ndio maana chadema hamumtaki. Wajinga tu.
 
Watanzania wengi akina nani? Tabia ya kusingizia wengine kwa udanganyifu ili kusukuma ajenda yako ni dalili ya ugaidi. Ohooooo!. Shauri lako.

Ni lini ulisikia mara ya mwisho jeshi la polisi likisifiwa kwa utendaji bora? Matatizo ya jeshi hili yanatatulika katika ngazi ya IGP?
Yaani Geshi la Police litende haki! Huu ni utani kwa kweli
 
Sirro amewaweka CDM kona kali, upumbavu wao wanaogopa kufanya kwa sababu yake, pia Mbowe kesi yake inategemea ushahidi wa Sirro na vijana wake, mnaogopa ushahidi wa Sirro?
Kuna watu ni wapumbavu ila hawajijui. Mfano ni wew
 
Mkuu wa jeshi la polisi ndio msimamzi mkuu wa shughuli za Jeshi hilo kwa kila namna, kuanzia utendaji, nidhamu na hata kufanya kazi kwa misingi ya haki.

Kila kona sasa hivi inaonekana wananchi hawana imani na IGP Sirro.

Je, ameshindwa kusimamia polisi kutenda haki?

Huyu mama Suzan Kaganda ndio atatenda haki?

Malalamiko kwa Sirro ni mengi juu ya kutetea uovu wa askari. Wanasiasa, wakulima na hata wananachi wa kawaida wanalalamika mitaani. Je, ni kweli hafai?
Amelifanya Jeshi kuwa Kituo cha Mateso kwa Wananchi Watu wanateswa wanasingiziwa kesi wanalazimishwa kukiri Makosa Wayatakayo Polisi Vituo vya Polisi Watu wamejaa hawapelekwi Mahakamani
20210813_144810.jpg
JamiiForums1313170365.jpg
 
Mkuu wa jeshi la polisi ndio msimamzi mkuu wa shughuli za Jeshi hilo kwa kila namna, kuanzia utendaji, nidhamu na hata kufanya kazi kwa misingi ya haki.

Kila kona sasa hivi inaonekana wananchi hawana imani na IGP Sirro.

Je, ameshindwa kusimamia polisi kutenda haki?

Huyu mama Suzan Kaganda ndio atatenda haki?

Malalamiko kwa Sirro ni mengi juu ya kutetea uovu wa askari. Wanasiasa, wakulima na hata wananachi wa kawaida wanalalamika mitaani. Je, ni kweli hafai?
Bila support ya Simoni Siro na askari wake, Ccm kingekuwa chama kikuu cha upinzani
 
Mkuu wa jeshi la polisi ndio msimamzi mkuu wa shughuli za Jeshi hilo kwa kila namna, kuanzia utendaji, nidhamu na hata kufanya kazi kwa misingi ya haki.

Kila kona sasa hivi inaonekana wananchi hawana imani na IGP Sirro.

Je, ameshindwa kusimamia polisi kutenda haki?

Huyu mama Suzan Kaganda ndio atatenda haki?

Malalamiko kwa Sirro ni mengi juu ya kutetea uovu wa askari. Wanasiasa, wakulima na hata wananachi wa kawaida wanalalamika mitaani. Je, ni kweli hafai?
Mtanzania yeyote hasa aliye ajiriwa na serekali anawza kubemendwa na serekali ya ccm, kusalimika na hilo itategemea na uimara na msimamo binafsi, mfano ni professor Assad. Siro ni dhaifu kama wengine.
 
Back
Top Bottom