Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo wala hamchoki. Huyo sirro amewamudu kisawasawa ndio maana chadema hamumtaki. Wajinga tu.Mkuu wa jeshi la polisi ndio msimamzi mkuu wa shughuli za Jeshi hilo kwa kila namna, kuanzia utendaji, nidhamu na hata kufanya kazi kwa misingi ya haki.
Kila kona sasa hivi inaonekana wananchi hawana imani na IGP Sirro.
Je, ameshindwa kusimamia polisi kutenda haki?
Huyu mama Suzan Kaganda ndio atatenda haki?
Malalamiko kwa Sirro ni mengi juu ya kutetea uovu wa askari. Wanasiasa, wakulima na hata wananachi wa kawaida wanalalamika mitaani. Je, ni kweli hafai?
Yaani Geshi la Police litende haki! Huu ni utani kwa kweliWatanzania wengi akina nani? Tabia ya kusingizia wengine kwa udanganyifu ili kusukuma ajenda yako ni dalili ya ugaidi. Ohooooo!. Shauri lako.
Ni lini ulisikia mara ya mwisho jeshi la polisi likisifiwa kwa utendaji bora? Matatizo ya jeshi hili yanatatulika katika ngazi ya IGP?
Kuna watu ni wapumbavu ila hawajijui. Mfano ni wewSirro amewaweka CDM kona kali, upumbavu wao wanaogopa kufanya kwa sababu yake, pia Mbowe kesi yake inategemea ushahidi wa Sirro na vijana wake, mnaogopa ushahidi wa Sirro?
Sema watanzania wote, acha kujifanya poyoyo wakati uko tumamuCHADEMA wrote ndio wamemchukia ghafla IGP Sirro kisa kamkamata mfalme wao na sio wa Tanzania wote
Amelifanya Jeshi kuwa Kituo cha Mateso kwa Wananchi Watu wanateswa wanasingiziwa kesi wanalazimishwa kukiri Makosa Wayatakayo Polisi Vituo vya Polisi Watu wamejaa hawapelekwi MahakamaniMkuu wa jeshi la polisi ndio msimamzi mkuu wa shughuli za Jeshi hilo kwa kila namna, kuanzia utendaji, nidhamu na hata kufanya kazi kwa misingi ya haki.
Kila kona sasa hivi inaonekana wananchi hawana imani na IGP Sirro.
Je, ameshindwa kusimamia polisi kutenda haki?
Huyu mama Suzan Kaganda ndio atatenda haki?
Malalamiko kwa Sirro ni mengi juu ya kutetea uovu wa askari. Wanasiasa, wakulima na hata wananachi wa kawaida wanalalamika mitaani. Je, ni kweli hafai?
Bila support ya Simoni Siro na askari wake, Ccm kingekuwa chama kikuu cha upinzaniMkuu wa jeshi la polisi ndio msimamzi mkuu wa shughuli za Jeshi hilo kwa kila namna, kuanzia utendaji, nidhamu na hata kufanya kazi kwa misingi ya haki.
Kila kona sasa hivi inaonekana wananchi hawana imani na IGP Sirro.
Je, ameshindwa kusimamia polisi kutenda haki?
Huyu mama Suzan Kaganda ndio atatenda haki?
Malalamiko kwa Sirro ni mengi juu ya kutetea uovu wa askari. Wanasiasa, wakulima na hata wananachi wa kawaida wanalalamika mitaani. Je, ni kweli hafai?
Mtanzania yeyote hasa aliye ajiriwa na serekali anawza kubemendwa na serekali ya ccm, kusalimika na hilo itategemea na uimara na msimamo binafsi, mfano ni professor Assad. Siro ni dhaifu kama wengine.Mkuu wa jeshi la polisi ndio msimamzi mkuu wa shughuli za Jeshi hilo kwa kila namna, kuanzia utendaji, nidhamu na hata kufanya kazi kwa misingi ya haki.
Kila kona sasa hivi inaonekana wananchi hawana imani na IGP Sirro.
Je, ameshindwa kusimamia polisi kutenda haki?
Huyu mama Suzan Kaganda ndio atatenda haki?
Malalamiko kwa Sirro ni mengi juu ya kutetea uovu wa askari. Wanasiasa, wakulima na hata wananachi wa kawaida wanalalamika mitaani. Je, ni kweli hafai?