Kwanini watendaji wa vijiji na kata kwanini wamepewa kazi ya kuajiri wakati wanashindwa kufuata taratibu nzuri za kuajiri?

Kwanini watendaji wa vijiji na kata kwanini wamepewa kazi ya kuajiri wakati wanashindwa kufuata taratibu nzuri za kuajiri?

RoadLofa

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,509
Reaction score
3,313
Hivi hizi kazi za watendaji wa vijiji na kata kwanini wamepewa kazi ya kuajiri wakati wanashindwa kufuata taratibu nzuri za kuajiri? Maana nimeshangaa sana kuwaita watu kufanya interview za kwanza kwenye halmashauri mbalimbali nchini na interview zenyewe zinafanywa kwa siku 1 Kisha mitihani zinasahishwa usiku na kesho yake oral.

Kwa mfano, halmashauri ya wilaya ya Bumbuli watu wameitwa kufanya interview ya kuandika tar 29/09/2024 na Kisha oral interview tarehe 30/09/2024 kweli interview kutoka written hadi oral inafanyikaje ndani ya siku 2, wanasahihishaje papers zote ndani ya usiku 1 na kusahihisha kwa usahihi kabisa au magumashi tu, Utumishi washakuwa jipu jingine Tena.
 
Hiv kufanya marking mitiani ya watu 200 kwa mfano yenye maswali 50 ya kuchagua, ku fill gape na ku mention kwa kutumia team ya watu watano sikila mtu ratio ni watainiwa 40 hyo nayo kwa siku ningumu?
 
M
Hiv kufanya marking mitiani ya watu 200 kwa mfano yenye maswali 50 ya kuchagua, ku fill gape na ku mention kwa kutumia team ya watu watano sikila mtu ratio ni watainiwa 40 hyo nayo kwa siku ningumu?
Moderator kwanza kakosea sana kubadilisha heading ya hii nyuzi kakosea sana yaani kaandika vitu asivyovijua kabisa wanaoajiri ni halmashauri ila wanasaidiwa kufanya recruitment na utumishi na utumishi ndo wanafanyisha interview 2 yaani written na oral ya watu 1,000 ndani ya siku 2 iyo siyo sawa Kuna uhuni ndani ya iyo recruitment.
 
Hiv kufanya marking mitiani ya watu 200 kwa mfano yenye maswali 50 ya kuchagua, ku fill gape na ku mention kwa kutumia team ya watu watano sikila mtu ratio ni watainiwa 40 hyo nayo kwa siku ningumu?
Sizani kama ni kazi ngumu, kwa sababu kwenye watu 200 unakuta waliofanya mtihani wa kuandika ni 60 au 100
 
Hao jamaa wamejipanga, usiwachukulie poa. Hiyo ndio kazi yao
 
Hiv kufanya marking mitiani ya watu 200 kwa mfano yenye maswali 50 ya kuchagua, ku fill gape na ku mention kwa kutumia team ya watu watano sikila mtu ratio ni watainiwa 40 hyo nayo kwa siku ningumu?
Mtoa mada atakua hajajipanga kufanya interview maana usahishaji autuhusu, sisi wengine tunatokea mbali hivyo kukaa gesti gharama
 
Hivi hizi kazi za watendaji wa vijiji na kata kwanini wamepewa kazi ya kuajiri wakati wanashindwa kufuata taratibu nzuri za kuajiri? Maana nimeshangaa sana kuwaita watu kufanya interview...
wewe ndio haujajipanga mkuu wenzio washaandaa wasahishaji mapema kulinganana idadi
 
Back
Top Bottom