SASA HIVI TUKO ZANZIBAR KWANZA. Wakati mkifuatilia mapinduzi ya zanziba polisi wa arusha sana sana wa kituo cha usa fuatilieni jambazi lilopigwa risasi na polisi mpakani maeneo ya holili likatoroka liko arusha hospitali ya sharak linatibiwa kwa usiri mkubwa sana kwani amegawa hela kwa daktari na manerse(sisters) ili wasipeleke repot polis (hospitali iko 1km kutokea arusha mjini kabla ujafika makumira university)
Nimekuwa nikijiuliza kwanini watoto wadogo wa kiume wanaweza rusha mkojo (wakati wa kukojoa) umbalimrefu hadi mita nne (4) wakati watu wakubwa (wanaume) hawawezi? Tena wengine asipo panua au sambaza miguu kuna hatari ya kujikojolea! Ni kitu gani kina sababisha mkojo wa mtoto mdogo uwe na speed kali (presha kubwa) wakati mtu mkubwa wakati wa kukojoa hamna speed kali au presha kubwa? Nisaidieni wataalamu wa sayansi
Nimewahi kuona mwanamke wa kimasai mtu mzima kasimama wima huku anakojoa na mkojo ulikuwa unatoka "perpendicularly" na mwili wake(Like a continuous chain of projectiles at zero degrees angle of departure). Na alikuwa anaurusha takriban mita 13 mbele.
Jukwaa la siasa hili
kweli hii sasa siasa......mita 13! Yaani katia urefu huo ukipanga vitanda vya futi 6 vinakaa vitanda sita!Nimewahi kuona mwanamke wa kimasai mtu mzima kasimama wima huku anakojoa na mkojo ulikuwa unatoka "perpendicularly" na mwili wake(Like a continuous chain of projectiles at zero degrees angle of departure). Na alikuwa anaurusha takriban mita 13 mbele.
Jukwaa la siasa hili