Kwanini Watoto wanapenda sana kuchezea maji ila kuyaoga ni shida?

Kwanini Watoto wanapenda sana kuchezea maji ila kuyaoga ni shida?

JourneyMan

Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
42
Reaction score
50
Kuna chalii hapa, yeye maji atayatafuta popotee, iwe ni bomba la nje, bafuni, kwenye ndoo popote,
Akiyapata cha maana hamna, ni kuingiza mkono na kuuzungusha.

Yaani huyu imefika hatua akiwa analia ukitaka anyamaze mletee maji kwenye jagi, baasi..
Hili ni tumeona kwa watoto wengi sana

Mda wa kuoga sasa, Ni kama alikua na reserve ya nguvu.
 
Mi huwa nawapeleka mtoni wakachezee na kuoga
Kama upo dar unanafasi kubwa ya kufanya hivyo baharini
Na kama upo ukameni sana watumbukize kwenye jaba🤨
 
Sijui hata niwekeje ila
Maji ni moja state of matter ambayo inamfanya mtoto kua curious na kua na interest nayo sana kutokana na sifa yake,
Naomba nitumie kimombo kidogo.

Stimulation : Mtoto akiweka mkono kwenye maji, ile sense of touch inamvutia, ile Sauti ya kuchuruzika akiisika anaifurahia, akichezesha vile yanavyozunguka anafurahia.

Freedom of Control: Maji ni kitu pekee ambacho mtoto anaweza akaki Control kirahisi, anaweza akayafanya kivyovyote anavyotaka,

Physical activity: Mtoto Kucheza na maji kunampa option nyingi sana za Physical exercise mfano kuyahamisha, kuyarusha kwa kutumia chombo au mikono, kuunda kitu, kuyaweka kwenye chombo chochote, kujimwagia(kuyaoga) n.k, uhuru wa kuyafanya hivyo na kumpa michezo mingi kwa pamoja kunamfanya ajihisi furaha na kuona ndio mchezo wake mkubwa.

Curiosity/Exploration/Discovery: Maji yanamfanya mtoto ajiulize maswali mengi sana,
Kuna mda anaweka kitu kinaelea, kwa nini?
Akiyamwaga chini yanachuruzika, kwa nini?
Akiyachezea na mkono yanaruka,kwa nin?

Haya sasa, kwa nini kwenye Kuogeshwa hii habari inageuka kabisa.

Hana ule uhuru tenaa..
1. Anajihisi sio salama anapokua Uchi,
2. Hawapendi ile hali ya mabadiliko ya ghafla ya joto la mwili, mfano unapo mvuanguo ule ubaridi au maji yanapomwagikia.
3. Kumkatizia uhuru/mchezo aliokua anafanya
4. Kumbukumbu za nyuma, mfano mtoto alishaingiwa na maji/povu machoni n.k, hivyo hujenga hofu.
5. Haoni umuhimu wake, unapomuogesha mtoto suala la usafi na uchafu ni kwako, yeye anachoona unamnyanyasa na kumkatishia mambo yake mengine sababu ya wivu wako.
 
Sijui hata niwekeje ila
Maji ni moja state of matter ambayo inamfanya mtoto kua curious na kua na interest nayo sana kutokana na sifa yake,
Naomba nitumie kimombo kidogo.

Stimulation : Mtoto akiweka mkono kwenye maji, ile sense of touch inamvutia, ile Sauti ya kuchuruzika akiisika anaifurahia, akichezesha vile yanavyozunguka anafurahia.

Freedom of Control: Maji ni kitu pekee ambacho mtoto anaweza akaki Control kirahisi, anaweza akayafanya kivyovyote anavyotaka,

Physical activity: Mtoto Kucheza na maji kunampa option nyingi sana za Physical exercise mfano kuyahamisha, kuyarusha kwa kutumia chombo au mikono, kujimwagilia, kutengenezea kitu, kuyaweka kwenye chomcho chochote, kujimwagi(kuyaoga) n.k, uhuru wa kuyafanya hivyo na kumpa michezo mingi kwa pamoja kunamfanya ajihisi furaha na kuona ndio mchezo wake mkubwa.

Curiosity/Exploration/Discovery: Maji yanamfanta mtoto ajiulize maswali mengi sana,
Kuna mda anaweka kitu kinaelea, kwa nini?
Akiyamwaga chini yanachuruzika, kwa nini?
Akiyachezea na mkono yanaruka,kwa nin?

Haya sasa, kwa nini kwenye Kuogeshwa hii habari inageuka kabisa.

Hana ule uhuru tenaa..
Anajihisi sio salama anapokua Uchi,
Hawapendi ile hali ya mabadiliko ya ghafla ya joto la mwili, mfano unapomvuanguo ule ubaridi au maji yanapomwagikia.
Kumkatizia uhuru/mcheozo aliokua anafanya
Kumbukumbu za nyuma, mfano mtoto alishaingiwa na maji/povu machoni n.k, hivyo hujenga hofu.
Haoni umuhimu wake, unapomuogesha mtoto suala la usafi na uchafu ni kwako, yeye anachoona unamnyanyasa na kumkatishia mambo yake mengine sababu ya wivu wako.
real facts mkuu
 
Sijui hata niwekeje ila
Maji ni moja state of matter ambayo inamfanya mtoto kua curious na kua na interest nayo sana kutokana na sifa yake,
Naomba nitumie kimombo kidogo.

Stimulation : Mtoto akiweka mkono kwenye maji, ile sense of touch inamvutia, ile Sauti ya kuchuruzika akiisika anaifurahia, akichezesha vile yanavyozunguka anafurahia.

Freedom of Control: Maji ni kitu pekee ambacho mtoto anaweza akaki Control kirahisi, anaweza akayafanya kivyovyote anavyotaka,

Physical activity: Mtoto Kucheza na maji kunampa option nyingi sana za Physical exercise mfano kuyahamisha, kuyarusha kwa kutumia chombo au mikono, kujimwagilia, kutengenezea kitu, kuyaweka kwenye chomcho chochote, kujimwagi(kuyaoga) n.k, uhuru wa kuyafanya hivyo na kumpa michezo mingi kwa pamoja kunamfanya ajihisi furaha na kuona ndio mchezo wake mkubwa.

Curiosity/Exploration/Discovery: Maji yanamfanta mtoto ajiulize maswali mengi sana,
Kuna mda anaweka kitu kinaelea, kwa nini?
Akiyamwaga chini yanachuruzika, kwa nini?
Akiyachezea na mkono yanaruka,kwa nin?

Haya sasa, kwa nini kwenye Kuogeshwa hii habari inageuka kabisa.

Hana ule uhuru tenaa..
Anajihisi sio salama anapokua Uchi,
Hawapendi ile hali ya mabadiliko ya ghafla ya joto la mwili, mfano unapomvuanguo ule ubaridi au maji yanapomwagikia.
Kumkatizia uhuru/mcheozo aliokua anafanya
Kumbukumbu za nyuma, mfano mtoto alishaingiwa na maji/povu machoni n.k, hivyo hujenga hofu.
Haoni umuhimu wake, unapomuogesha mtoto suala la usafi na uchafu ni kwako, yeye anachoona unamnyanyasa na kumkatishia mambo yake mengine sababu ya wivu wako.
Mleta mada fungal uzi sawa?
 
Sijui hata niwekeje ila
Maji ni moja state of matter ambayo inamfanya mtoto kua curious na kua na interest nayo sana kutokana na sifa yake,
Naomba nitumie kimombo kidogo.

Stimulation : Mtoto akiweka mkono kwenye maji, ile sense of touch inamvutia, ile Sauti ya kuchuruzika akiisika anaifurahia, akichezesha vile yanavyozunguka anafurahia.

Freedom of Control: Maji ni kitu pekee ambacho mtoto anaweza akaki Control kirahisi, anaweza akayafanya kivyovyote anavyotaka,

Physical activity: Mtoto Kucheza na maji kunampa option nyingi sana za Physical exercise mfano kuyahamisha, kuyarusha kwa kutumia chombo au mikono, kujimwagilia, kutengenezea kitu, kuyaweka kwenye chomcho chochote, kujimwagi(kuyaoga) n.k, uhuru wa kuyafanya hivyo na kumpa michezo mingi kwa pamoja kunamfanya ajihisi furaha na kuona ndio mchezo wake mkubwa.

Curiosity/Exploration/Discovery: Maji yanamfanta mtoto ajiulize maswali mengi sana,
Kuna mda anaweka kitu kinaelea, kwa nini?
Akiyamwaga chini yanachuruzika, kwa nini?
Akiyachezea na mkono yanaruka,kwa nin?

Haya sasa, kwa nini kwenye Kuogeshwa hii habari inageuka kabisa.

Hana ule uhuru tenaa..
Anajihisi sio salama anapokua Uchi,
Hawapendi ile hali ya mabadiliko ya ghafla ya joto la mwili, mfano unapomvuanguo ule ubaridi au maji yanapomwagikia.
Kumkatizia uhuru/mcheozo aliokua anafanya
Kumbukumbu za nyuma, mfano mtoto alishaingiwa na maji/povu machoni n.k, hivyo hujenga hofu.
Haoni umuhimu wake, unapomuogesha mtoto suala la usafi na uchafu ni kwako, yeye anachoona unamnyanyasa na kumkatishia mambo yake mengine sababu ya wivu wako.
Good
 
Mi huwa nawapeleka mtoni wakachezee na kuoga
Kama upo dar unanafasi kubwa ya kufanya hivyo baharini
Na kama upo ukameni sana watumbukize kwenye jaba🤨
Daa jaba tena?
Kuna mtoto alikuwa anatafutwa kumbe katumbukia kwenye jaba na kufa
Wachungeni sana watoto kwa kuwafundisha hatari hizo mkuu
Kilikuwa kilio kikubwa kwa mtoto kupoteza maisha hivyo
 
... hiyo tabia ya watoto inafanana sana na tabia yangu kuhusu chakula, yaani napenda mno kapile za barabarani, lakini nikitengewa msosi na mama Havijawa hata hauendi!
😅
 
Back
Top Bottom