Augustine Aloyce
Member
- Oct 8, 2018
- 34
- 25
Ni tufanye hawa wote hawana akili kuwekeza hapa. Je, unashindwa kujiuliza kwanini watoe pesa huko duniani $3.51 Trillion kwa kuwekeza sehemu ambapo hapaeleweki??🤔
Ndugu yangu nikupe siri kila unapoona kuna mafanikio basi tambua kuna siri imejificha hivyo tamani kujua siri hiyo ili na wewe uweze kuwa sehemu ya mafanikio hayo.
Umasikini ni kitu kibaya sana kwenye maisha nafikiri 98% ya watu tulioko hapa tunatambua maana ya Umasikini
Umasikini Unazalilisha
Umasikini ni fedhea
Umasikini Unakosesha furaha
Umasikini unakufanya kuwa mtumwa
Umasikini unakufanya ufe bila hatia
Umasikini unakosesha watu haki
Umasikini unakufanya ukose dhamani kwenye Dunia
Yaani kila lugha mbaya na kejeli zinazaliwa na Umasikini jitahidi kukataa hali hiyo kwa nguvu zako zote kuwa sababu ya kukomboa jamii yako na Umasikini watakuja kukushukuru kwa hatua hii muhimu uliyoiamua leo.
Nasisitiza wekeza maarifa kwenye Teknolojia ya Blockchain utakuja kunishukuru baadae.
#NFTs #BSTcoin #ELScoin #Share
By Augustine Soka
Ndugu yangu nikupe siri kila unapoona kuna mafanikio basi tambua kuna siri imejificha hivyo tamani kujua siri hiyo ili na wewe uweze kuwa sehemu ya mafanikio hayo.
Umasikini ni kitu kibaya sana kwenye maisha nafikiri 98% ya watu tulioko hapa tunatambua maana ya Umasikini
Umasikini Unazalilisha
Umasikini ni fedhea
Umasikini Unakosesha furaha
Umasikini unakufanya kuwa mtumwa
Umasikini unakufanya ufe bila hatia
Umasikini unakosesha watu haki
Umasikini unakufanya ukose dhamani kwenye Dunia
Yaani kila lugha mbaya na kejeli zinazaliwa na Umasikini jitahidi kukataa hali hiyo kwa nguvu zako zote kuwa sababu ya kukomboa jamii yako na Umasikini watakuja kukushukuru kwa hatua hii muhimu uliyoiamua leo.
Nasisitiza wekeza maarifa kwenye Teknolojia ya Blockchain utakuja kunishukuru baadae.
#NFTs #BSTcoin #ELScoin #Share
By Augustine Soka