GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kutokana na ' Uchunguzi ' wangu mdogo tu nilioufanya ndani na nje ya Tanzania nimegundua ya kwamba kumbe huku Kukimbilia kuandika Historia yako ya Maisha na kuyaweka katika Kitabu na ' Kukizindua ' kwa ' Mikogo ' yote huwa hakupokelewi vyema na ' Israeli Mtoa Roho ' ambapo huwa ' hakukawizi ' sana kuwepo hapa duniani. Na ukiona umezindua ' Hajakuchukua ' jua Wewe hukuwa na la maana sana katika Jamii yako husika na ameona hata ' akikuchukua ' kwenda Mbinguni hutokuwa na Faida pia huko.
Kutokana na Kuligundua hili na nikiwa bado ninayapenda Maisha yangu ' nimeahirisha ' rasmi nami Kuandika na kutaka Kukizindua Kitabu changu.
Kutokana na Kuligundua hili na nikiwa bado ninayapenda Maisha yangu ' nimeahirisha ' rasmi nami Kuandika na kutaka Kukizindua Kitabu changu.