GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hii ni kwasababu, wakibaki hai "watatukuzwa na kusifiwa of which Mungu ana wivu sana kama alivyosema hawezi kugawana utukufu wake na mwanadamu".Kutokana na ' Uchunguzi ' wangu mdogo tu nilioufanya ndani na nje ya Tanzania nimegundua ya kwamba kumbe huku Kukimbilia kuandika Historia yako ya Maisha na kuyaweka katika Kitabu na ' Kukizindua ' kwa ' Mikogo ' yote huwa hakupokelewi vyema na ' Israeli Mtoa Roho ' ambapo huwa ' hakukawizi ' sana kuwepo hapa duniani. Na ukiona umezindua ' Hajakuchukua ' jua Wewe hukuwa na la maana sana katika Jamii yako husika na ameona hata ' akikuchukua ' kwenda Mbinguni hutokuwa na Faida pia huko.
Kutokana na Kuligundua hili na nikiwa bado ninayapenda Maisha yangu ' nimeahirisha ' rasmi nami Kuandika na kutaka Kukizindua Kitabu changu.
Hebu na wewe andika tuoneKutokana na ' Uchunguzi ' wangu mdogo tu nilioufanya ndani na nje ya Tanzania nimegundua ya kwamba kumbe huku Kukimbilia kuandika Historia yako ya Maisha na kuyaweka katika Kitabu na ' Kukizindua ' kwa ' Mikogo ' yote huwa hakupokelewi vyema na ' Israeli Mtoa Roho ' ambapo huwa ' hakukawizi ' sana kuwepo hapa duniani. Na ukiona umezindua ' Hajakuchukua ' jua Wewe hukuwa na la maana sana katika Jamii yako husika na ameona hata ' akikuchukua ' kwenda Mbinguni hutokuwa na Faida pia huko.
Kutokana na Kuligundua hili na nikiwa bado ninayapenda Maisha yangu ' nimeahirisha ' rasmi nami Kuandika na kutaka Kukizindua Kitabu changu.
Duh! naombea isijekua umekumbusha wahusikaThe King of all Bongo social media jitu lishibalo mobimba Le Mutuz nadhani alishaandika na kuzindua kitabu kinachoelezea maisha yake zaidi ya miaka mitatu iliyopita. Mbona yupo tu anadunda?
The King of all Bongo social media jitu lishibalo mobimba Le Mutuz nadhani alishaandika na kuzindua kitabu kinachoelezea maisha yake zaidi ya miaka mitatu iliyopita. Mbona yupo tu anadunda?
Hebu na wewe andika tuone
Kutokana na ' Uchunguzi ' wangu mdogo tu nilioufanya ndani na nje ya Tanzania nimegundua ya kwamba kumbe huku Kukimbilia kuandika Historia yako ya Maisha na kuyaweka katika Kitabu na ' Kukizindua ' kwa ' Mikogo ' yote huwa hakupokelewi vyema na ' Israeli Mtoa Roho ' ambapo huwa ' hakukawizi ' sana kuwepo hapa duniani. Na ukiona umezindua ' Hajakuchukua ' jua Wewe hukuwa na la maana sana katika Jamii yako husika na ameona hata ' akikuchukua ' kwenda Mbinguni hutokuwa na Faida pia huko.
Kutokana na Kuligundua hili na nikiwa bado ninayapenda Maisha yangu ' nimeahirisha ' rasmi nami Kuandika na kutaka Kukizindua Kitabu changu.
Kama hivyo ndivyo, basi JK asiandike kitabu
Kwani wewe ni mtu maarufu??
haya kachukue buku 7
Kuandika kitabu kinacho husu maisha yako. Ni kwamba unaandika wosia
Come with facts! Njoo na data na siyo hisia zako potofu. Toa orodha ya watu maarufu angalau kumi waliondika wakafa na mimi nitakuja na orodha watu maarufu elfu moja ambao waliandika na wako hai!Na kwa hali ilivyo kwa kila anayendika ' anaondoka ' tu sidhani kama huyu uliyemtaja hapa ' atathubutu ' na ni mwoga kweli kweli wa Kufariki pia.