Kwanini Watu maarufu wengi na hasa wale wanaopendwa na Watu wakishazikwa tu basi husahaulika hapo hapo?

Kwanini Watu maarufu wengi na hasa wale wanaopendwa na Watu wakishazikwa tu basi husahaulika hapo hapo?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Unakuta Mtu akifa tu basi atapewa Sifa za kila aina na Wanadamu huku wengine wakilia kila aina ya Machozi, wakimshukuru Marehemu na hata kumfananisha na Malaika, wakimtungia Nyimbo mbalimbali, wakimuonyesha Upendo japo Mhusika ( Marehemu ) anakuwa katika Jeneza lake lakini ile Siku ambayo wakimzika tu basi hapo hapo huanza Kusahaulika na hata Kutokumbwa tena daima milele amina.

Rest In Peace sana Edward Moringe Sokoine
Rest In Peace mno Steven Kanumba
Rest In Peace pia nazikwa Jumatatu 4 March 2019

Nawasilisha.
 
wabongo si watu wa kwenda na matukio,akishazikwa tu tunaachana nae tunasubiri tukio jingine.
 
Kabisa, kama yule Mzee Mkependelebe Mapindo wa Kivinje, kafariki 1964, ila mpaka leo anakumbukwa.
 
watu wote wanasahaulika mkuu.... maana wanatakiwa waje wapya nao wapate nafasi .......ukisha ondoka na ukurasa wako umefungwa

Kwahiyo unataka kuniambia pamoja na hizi ' Kufuru ' zote zinazofanyika kwa ' Nazikwa Kesho Jumatatu March 4 ' huku akipewa Sifa anazostahili na pengine hata asizostahili ( kama zipo ) akifukiwa tu ndiyo ' Kumbukumbu ' yake itaishia pale rasmi? Nimejifunza sana ' Unafiki ' wa Kutukuka wa Watanzania hasa kupitia Misiba hii mikubwa miwili ya Hayati Sokoine na Kanumba na nina uhakika hata huyu wa Kesho nae Watanzania tutaendeleza ' Unafiki ' wetu ule ule uliotukuka.
 
Wewe kweli popoma nani kakuambia hawakumbukwi?? Au mpaka uwaone wakiongelewa instargram?



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Unakuta Mtu akifa tu basi atapewa Sifa za kila aina na Wanadamu huku wengine wakilia kila aina ya Machozi, wakimshukuru Marehemu na hata kumfananisha na Malaika, wakimtungia Nyimbo mbalimbali, wakimuonyesha Upendo japo Mhusika ( Marehemu ) anakuwa katika Jeneza lake lakini ile Siku ambayo wakimzika tu basi hapo hapo huanza Kusahaulika na hata Kutokumbwa tena daima milele amina.

Rest In Peace sana Edward Moringe Sokoine
Rest In Peace mno Steven Kanumba
Rest In Peace pia nazikwa Jumatatu 4 March 2019


Nawasilisha.
Hili la kusahaulika ni kwamba tumeumbiwa wanadamu.
hebu fikiria tusingekuwa tunasahau tungeweza kuishi baada ya wapendwa wetu kutangulia mbele za haki?
Kusahaulishwa juu ya kifo kilichotokea na juu ya kifo chako ni fumbo la siri ambalo analijua muumba pekee.
 
Kingine ni kusahau uchungu wa uzazi nina hakika tungekuwa hatusahau basi kila mwanamke angeishia kuzaa mtoto mmoja tu
Hili la kusahaulika ni kwamba tumeumbiwa wanadamu.
hebu fikiria tusingekuwa tunasahau tungeweza kuishi baada ya wapendwa wetu kutangulia mbele za haki?
Kusahaulishwa juu ya kifo kilichotokea na juu ya kifo chako ni fumbo la siri ambalo analijua muumba pekee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo unataka kuniambia pamoja na hizi ' Kufuru ' zote zinazofanyika kwa ' Nazikwa Kesho Jumatatu March 4 ' huku akipewa Sifa anazostahili na pengine hata asizostahili ( kama zipo ) akifukiwa tu ndiyo ' Kumbukumbu ' yake itaishia pale rasmi? Nimejifunza sana ' Unafiki ' wa Kutukuka wa Watanzania hasa kupitia Misiba hii mikubwa miwili ya Hayati Sokoine na Kanumba na nina uhakika hata huyu wa Kesho nae Watanzania tutaendeleza ' Unafiki ' wetu ule ule uliotukuka.
Haha....kabisa mkuu....maana hata muheshimiwa mmoja hivi Leo anasema marehemu alikua rafiki yake mpaka anakosa yakusemaa
 
Kuna watu wanajifanya wanamajonzi pale 'mjengoni' lakini wanatokwa na udenda kutamani kumrithi marehemu ile position yake pale

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Back
Top Bottom