Kwanini watu muhimu kwa Taifa wanajitenga na siasa Tanzania?

Kwanini watu muhimu kwa Taifa wanajitenga na siasa Tanzania?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Duniani wanasiasa ni mchanganyiko wa makundi ya watu waliopo kwenye jamii, kukosekana kwa makundi haya nikukosekana kwa washauri wazuri ndani ya Bunge.

Bunge linapaswa liwe na wastaafu wa Jeshi la Wananchi hasa senior officials, senior Government official wa aina ya Mkuchika, wafanyabiashara wakubwa, watu wa sekta nyingine zote.

Watu awaendi kama waumini thabiti wa chama kilichowapa nafasi ya kugombea Bali waumini wa Taifa kwanza. Hawa kazi yao nikuzima hoja zisizo na maslahi kwa Taifa, nikutetea makundi yao nakufanikisha mijadala kwenda bila upotoshaji.

Sasa hivi ukiangalia aina ya wabunge tulionao umwoni mbunge ambaye unaweza sema amebeba malengo ya Taifa kabla ya malengo ya chama, wote wamebeba na wengi wamebebeshwa malengo ya chama kabla ya malengo ya Taifa.

Angalia huko Ulimwengu wa Kwanza namna generals wanavyozima mijadala, namna wanavyotoa expert opinion kwenye vyombo vya maamuzi, utagundua upo umuhimu wa watumishi wa Umma kuingia kwenye bunge kabla au baada yakustaafu.

Na ili ufanikiwe lazima ujiandae kwa kuuvaa uzalendo na kutokuwa mstari wa mbele kufanya propaganda za vyama. Utenganishe kati yako na watu wasio na utaalamu. Ukilazimika kufanya propaganda Basi ziwe propaganda za diplomasia ya kiuchumi
 
Kama bado unaaamini mwanajeshi akistaafu kazi ya Jeshi anastaafu ubongo upo karne ya tano.

Duniani wastaafu wanahitajika sana kushape taasisi za kisiasa maana wanajua misingi ya kuwepo kwa Taifa na wamekuwa wakiisimamia.

Tulitegemea generals, directors wa sekta binafsi na utumishi wa Umma wawe mstari wa mbele kupigania misingi ya Taifa si misingi ya chama. Na mtoa mada ameeleza vyema kwama Taifa na mfumo wa siasa unahitaji wabobezi wakulirudisha Taifa kwenye mstari.

Kukosekana kwa watu Hawa ndiko kulikopelekea Leo hii sheria inapitishwa kwa kishindo baada ya mwezi inafanyiwa marekebisho, ndiko kulikopelekea mikataba mibovu na sheria mbovu kwa sababu waliopewa dhamana hawana ujuzi wameingia kwa kujua kusoma na kuandika, wameingia Bungeni kwa kupitia mgongano ndani ya chama, wameingia Bungeni kwa sababu tume haikusimamia haki, wameingia Bungeni kwa sababu ndugu zao wanainfluensi zakuwapitisha wawe wabunge tunahitaji viumbe wanaoweza kumfanya Rais aone kila Mbunge anastahili kuwa Waziri na anacapacity
 
Kama bado unaaamini mwanajeshi akistaafu kazi ya Jeshi anastaafu ubongo upo karne ya tano.

Duniani wastaafu wanahitajika sana kushape taasisi za kisiasa maana wanajua misingi ya kuwepo kwa Taifa na wamekuwa wakiisimamia.

Tulitegemea generals, directors wa sekta binafsi na utumishi wa Umma wawe mstari wa mbele kupigania misingi ya Taifa si misingi ya chama. Na mtoa mada ameeleza vyema kwama Taifa na mfumo wa siasa unahitaji wabobezi wakulirudisha Taifa kwenye mstari.

Kukosekana kwa watu Hawa ndiko kulikopelekea Leo hii sheria inapitishwa kwa kishindo baada ya mwezi inafanyiwa marekebisho, ndiko kulikopelekea mikataba mibovu na sheria mbovu kwa sababu waliopewa dhamana hawana ujuzi wameingia kwa kujua kusoma na kuandika, wameingia Bungeni kwa kupitia mgongano ndani ya chama, wameingia Bungeni kwa sababu tume haikusimamia haki, wameingia Bungeni kwa sababu ndugu zao wanainfluensi zakuwapitisha wawe wabunge tunahitaji viumbe wanaoweza kumfanya Rais aone kila Mbunge anastahili kuwa Waziri na anacapacity
kuna baadhibya watu hadi leo katika taifa hili bado wanaamini kuwa upinzani ni lazima wawemo "watu wao " kwa maana wapinzani. Bado wanaamini bunge bila wabunge wao wa upinzani "sio bunge halali"
Imeandikwa wapi hii??

Ndugu mwanachi,usipelekwe na mihemko ya namna hiyo, hatutafika!!
Cha msingi nikuangalia utekelezaji na utatuzi wa kero mbalimbali hasa zinazo mhusu mwananchi moja kwa moja,na hayo mengine waachie wao wenyewe (wanasiasa wote lao ni moja kama hufaham!)
Tuache ushabiki wa kijinga usio na maslahi kwa taifa hili.

Nb:ni wajibu wako kuikosoa serikali pale inapo teleza au inapofanya ndivyo sivyo.lakini kuwa mpinzani hainamaana ya kupinga kila kitu

#jr
 
Duniani wanasiasa ni mchanganyiko wa makundi ya watu waliopo kwenye jamii, kukosekana kwa makundi haya nikukosekana kwa washauri wazuri ndani ya Bunge.

Bunge linapaswa liwe na wastaafu wa Jeshi la Wananchi hasa senior officials, senior Government official wa aina ya Mkuchika, wafanyabiashara wakubwa, watu wa sekta nyingine zote.

Watu awaendi kama waumini thabiti wa chama kilichowapa nafasi ya kugombea Bali waumini wa Taifa kwanza. Hawa kazi yao nikuzima hoja zisizo na maslahi kwa Taifa, nikutetea makundi yao nakufanikisha mijadala kwenda bila upotoshaji.

Sasa hivi ukiangalia aina ya wabunge tulionao umwoni mbunge ambaye unaweza sema amebeba malengo ya Taifa kabla ya malengo ya chama, wote wamebeba na wengi wamebebeshwa malengo ya chama kabla ya malengo ya Taifa.

Angalia huko Ulimwengu wa Kwanza namna generals wanavyozima mijadala, namna wanavyotoa expert opinion kwenye vyombo vya maamuzi, utagundua upo umuhimu wa watumishi wa Umma kuingia kwenye bunge kabla au baada yakustaafu.

Na ili ufanikiwe lazima ujiandae kwa kuuvaa uzalendo na kutokuwa mstari wa mbele kufanya propaganda za vyama. Utenganishe kati yako na watu wasio na utaalamu. Ukilazimika kufanya propaganda Basi ziwe propaganda za diplomasia ya kiuchumi
Sawa ila siyo kwa CCM mpya. Uzalendo wa CCM mpya utakushinda.
 
Back
Top Bottom