Kwanini watu tuna chuki na hatutakiani mema? Je kunasuluhisho?

Kwanini watu tuna chuki na hatutakiani mema? Je kunasuluhisho?

Chuki inatokana na scarcity mindset

Na hiyo scarcity mindset inatokana na. Ego

Ego ni ubinafsi na ubinafsi unaleta self identify

Mfano chuki inakuwa hivi unatamani kitu alichonacho MTU ukipate wewe na yeye asikipate

Sasa hii inatokana na scarcity mindset akili yako inakuwa haina utoshelevu .


So ukimuona MTU ana chuki unabidi kujua hilo ni tatizo la kisaikolojia tu ambalo linatokana na kuwa na Low emotional intelligence , na EGO.

Resentment (CHUKI) ni inferiority complex

So MTU mwenye chuki anabidi kufata huo mchakato

Kuondoa scarcity mindset na kuwa na Abundance mindset

Anabidi kuondoa EGO na kuhakikisha anaamini Good things is not for chosen ones but for everybody.
I appreciate your views.
Tukianza na Ego, najua it's a false sense of self. Ambayo ina tokana na false and man made beliefs ambazo either umepewa na watu wengine or umejiwekea mwenyewe kwenye makuzi na vitu ulivyojifunza.

Na umesema "Ego ni ubinafsi na ubinafsi unaleta self identify" Do you think identity exists in the EGO? Kama ni ego inaambatana na scarcity mindset?

Je wanyama pia wana chuki?, hawana consciousness lakini pia in that sense hawana EGO! Simba dume lazima apigane na mwenzie upon first meeting! Hiyo chuki, or sijui tuiiteje unafikiri imetokana na scarcity mindset, huoni kama ni kitu natural.
 
I appreciate your views.
Tukianza na Ego, najua it's a false sense of self. Ambayo ina tokana na false and man made beliefs ambazo either umepewa na watu wengine or umejiwekea mwenyewe kwenye makuzi na vitu ulivyojifunza.

Na umesema "Ego ni ubinafsi na ubinafsi unaleta self identify" Do you think identity exists in the EGO? Kama ni ego inaambatana na scarcity mindset?

Je wanyama pia wana chuki?, hawana consciousness lakini pia in that sense hawana EGO! Simba dume lazima apigane na mwenzie upon first meeting! Hiyo chuki, or sijui tuiiteje unafikiri imetokana na scarcity mindset, huoni kama ni kitu natural.


Kama haujanielewa unabidi kujua Una kitu kinaitwa stereo types and this is play of Ego
 
Wanawake, kwa asilimia kubwa ndo husumbuliwa na na haya matatizo

Resentiment (CHUKI)
Jealousy (Wivu)
Pride (Kujisifu au majivuno)
Arrogance (kiburi,dharau)
Attention


Hii hutokana na kuwa wanawake hutumia right brain ambayo ipo emotionally Sana.

Hivyo tatizo la wanawake kutopendana linatokana na Kutokuwa na emotional intelligence.

Ili mwanamke aishi vizuri inahitaji kuwa na emotional intelligence kubwa kulinganisha na mwanaume.

Ukikaa vizuri ukatazama wanawake kuna mambo ambayo unaweza kuona hawa sio complete a human being

So chuki, wivu ,husda ili kuondoa inahitaji uwe na Emotional intelligence kwanza.
🤣🤣 sio complete human being. Naungana nawe katika hili💯
 
Kama haujanielewa unabidi kujua Una kitu kinaitwa stereo types and this is play of Ego
No siko huko unapowazia na sina bias yoyote kwenye opinions zako nimekuuliza swali tu! Yawezekana nimetumia ego😄 but try to help me on that...
 
Upande wangu,
Najitahidi kuepuka chuki, wivu, husda kuwafanyia wengine lakini mtu akinifanyia ni sawa na wala sijali

Tujitahidi watoto wetu wawe na hofu ya Mungu ili kuepuka wao kua na tabia hizi ambazo asili yaje ni Shetani
Sawasawa.
 
Ni ubinafsi ila binadamu ana weza kuwa na wema kwa wengne cha muhimu apo ni upendo wa kutokea ndani na sio ule wa kuambiwa makanisani na misikitini ambao ni upendo wa kinafki.
Asante kwa hoja nzuri
 
Hali ya chuki na wivu na hatari sana Kwa maisha ya watu wanaokuzunguka,hii inaenda kimya kimya na huwezi kujuwa kama hili jambo linafika mbali,lakini katika stage za ukuaji wa akili ni lazima Kuna hatua utapitia hiyo ili ujifunze,na usipojifunza ndio unajikuta huwezi kusamehe watu wengine kama ulivyokuwa mtoto mdogo.
Nashukuru kwa maoni, ukuaji pia unachangia, kadri unavyokua ndo tunapata uelewa.
 
No siko huko unapowazia na sina bias yoyote kwenye opinions zako nimekuuliza swali tu! Yawezekana nimetumia ego😄 but try to help me on that...
Naelewa Ila Mimi nimefanya nina Elimu kuhusu tabia za binadamu Psychoanalysis Ila uliposema wanyama Kama simba nimeshindwa kukuelewa .

That is way nimeona unahitaji kujua mambo yanayoendana na hisia zako na AKILI YAKO (STEREOTYPES)

So umetoa Uzi kuhusu binadamu then unaunganisha na wanyama hapo hapo.

Unaweza kuona tatizo lipo wapi.


Lakini Kama binadamu hauna 'Emotional intelligence '

Utakuwa MTU wa kusuguana Sana na WATU and you will stumble
 
Asante
Mimi mwenyewe huwa napatwa na chuki, hua ni automatically inakuja. Ila baada ya miaka mingi na kukua kiakili ndo nikaanza kua mwangalifu wa hisia na mawazo yangu. Na bado hii ni safari sijakamilika na fall short sometimes. Ni kweli kabisa binadamu sio kiumbe cha kuaminiwa.
Ondoa hiyo chuki.....stay positive
 
Katika safari yangu ya maisha, nimekutana na watu wengi, lakini ukweli sijabahatika kuina mtu mwenye roho nyeupe asilimia 💯 na mimi nikiwemo. Au angalau mtu anayeweza kumaintain ubinafsi wake na maslahi ya watu wengine. Ni kitu ambacho kila nikifikiria huwa nakosa majibu.

Wazazi wamekua wema kwangu, ila ukweli usemwe kuna mda walinifavour mimi, kwa sababu ni mimi. Hii sio kuwasemea vibaya ila hata mimi ningefanya kwa mwanangu. Sitaki kusema ni kitu kibaya ila tukija kwenye nature ya viumbe vingine ni sawa pia kiumbe kufavour uzawa wake. Basically makes sense.

Nimetolea mfano wa mzazi kwa mwanae, ila kuna scenario nyingi ambazo watu wenye uhusiano fulani au wamewatakia mabaya watu wengine wasio na uhusiano nao. Hoja yangu pia ina ambatana na chuki tuzijengazo kwa muhktadha wa kutofautiana kifikra, kiimani, kiuchumi, na mengineyo yanayofanana. Hata wazazi pia wanaweza kuwachukia watoto pia, inategemea kama mtoto hafuati yale wazazi wanaona yana mfaa. So haiwezi kubase kwenye uhusiano!🤣

Je ni sawa sisi wanadamu kuto takiana mema hasa kwa wale wasio upande wetu? Je unahisi kutokuwa na makubaliano ni kitu natural? Yaani lazima kiwepo? Na kama ni kweli, je chuki ni kitu kizuri? Wanasema bila malumbano hakuna maendeleo, je chuki pia ni kitu sahihi kwa muktadha huo?

Nakaribisha mawazo yenu.
We are being human, we aren't angels bro! It's a human nature, don't over think about it
 
Naelewa Ila Mimi nimefanya nina Elimu kuhusu tabia za binadamu Psychoanalysis Ila uliposema wanyama Kama simba nimeshindwa kukuelewa .

That is way nimeona unahitaji kujua mambo yanayoendana na hisia zako na AKILI YAKO (STEREOTYPES)

So umetoa Uzi kuhusu binadamu then unaunganisha na wanyama hapo hapo.

Unaweza kuona tatizo lipo wapi.


Lakini Kama binadamu hauna 'Emotional intelligence '

Utakuwa MTU wa kusuguana Sana na WATU and you will stumble
I respect that umesoma, na kama mtu nisiye na uzoefu ungetakiwa kunielewesha sio kukriticize this shows how insecure you are.

Yaani badala ya kunipa jibu unaonesha elimu yako ili iweje who cares? Umesoma kuna watu hawaja hudhuria darasani na wako intelligent kukuzidi 🤣

Nasikitika kukuambia you've less you know about the topic.
 
I respect that umesoma, na kama mtu nisiye na uzoefu ungetakiwa kunielewesha sio kukriticize this shows how insecure you are.

Yaani badala ya kunipa jibu unaonesha elimu yako ili iweje who cares? Umesoma kuna watu hawaja hudhuri darasani na wako intelligent kukuzidi 🤣

Nasikitika kukuambia you've less you know about the topic.
😁😁😁

Hamna nadhani the key point ni kujitahidi kuwa na emotional intelligence kuzielewa hisia zako na hisia za watu wengine .

EQ
 
😁😁😁

Hamna nadhani the key point ni kujitahidi kuwa na emotional intelligence kuzielewa hisia zako na hisia za watu wengine .

EQ
Hapo umejibu kidaktari zaid, ulitaka kuleta chuki tena😉😆

Emotional intelligence is key💯
 
Hapo umejibu kidaktari zaid, ulitaka kuleta chuki tena😉😆


😁😁😁

Sema mkuu tukiwa na EQ kubwa maana uzuri EQ unaweza kuipata sio lazima iwe inborn unaweza kudevelop inasaidia kukufikisha sehemu yoyote nzuri na kuwa na mahusiano mazuri na WATU.

IQ and EQ , EQ ndo inaamua ufanikiwe so tuendelee kujifunza.

Kuna hatua MTU unaifikia unakuwa Enlightenment unakuwa hauioni chuki ndani yako .
 
Chuki ni matokeo ya kuwa na akili ndogo na daima haijengi bali hubomoa na siku zote hatufanani kimtazamo na ndipo huzuka malumbano. Malumbano ni kitu kizuri pale tu mnaolumbana mnalumbana kwa hoja na mnalenga kujenga.
 
😁😁😁

Sema mkuu tukiwa na EQ kubwa maana uzuri EQ unaweza kuipata sio lazima iwe inborn unaweza kudevelop inasaidia kukufikisha sehemu yoyote nzuri na kuwa na mahusiano mazuri na WATU.

IQ and EQ , EQ ndo inaamua ufanikiwe so tuendelee kujifunza.

Kuna hatua MTU unaifikia unakuwa Enlightenment unakuwa hauioni chuki ndani yako .
Hakika mkuu,
Ni process ambayo inahitaji perseverance kubwa sana maana kuna mda utaona there's no meaning of life, hii imeshanikumba sana😆. Wanaita Ego death kama una experience nayo?

Na mind you hii haihitaji kwenda darasani, it's all about learning thyself through living the experiences. Enlightenment inafikiwq mara nyingi sana sema huwa inakua sio stable, so itachukua mda sana kupitia vikwazo mbalimbali kuifanya iwe stable. Anyways naona upo vizuri pia kongole kwako mkuu. Na exactly unahitaji kuondoa chuki. Ingawa ni ngumu bcoz we are human with flaws.
 
Naungana nawe kuhusu hilo wazungu kidogo wana unafuu, ila sisi maafrika 🤣🤣! Ni very ignorant embu anzisha uzi kuhusu dini uone!
Sio kidogo Mkuu, ni sana...Watu weusi wengi ni Washenzi sana, tazama hata Asians...Wahindi, Wachina na Wajapan wanavyofanikiwa
 
Back
Top Bottom