Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Nimeuliza kutaka kujua tu wapendwa.
Hivi ni kwaninii mtu anajikuna kuna mechanism gani mwilini ama imechafuka inaitaji kukunwa ama .....
Na kuna kitu ama msemo sikuhizi mtu akikukasirisha anajibiwa unaitaji kukunwa eeh??yeye amejuaje mwenzie anataka kukunwa je muwasho una connectio gani na mtu wa pili mpaka amwambie unajisikia kukuunwa eenh???
Ma Dk embu tusaidieni kidogo .....hayo tu
Hivi ni kwaninii mtu anajikuna kuna mechanism gani mwilini ama imechafuka inaitaji kukunwa ama .....
Na kuna kitu ama msemo sikuhizi mtu akikukasirisha anajibiwa unaitaji kukunwa eeh??yeye amejuaje mwenzie anataka kukunwa je muwasho una connectio gani na mtu wa pili mpaka amwambie unajisikia kukuunwa eenh???
Ma Dk embu tusaidieni kidogo .....hayo tu