Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah aah aah karavati ???Wanajikuta wajanja kumbe maboya wa mwisho mtu mchana maneno mengiiii ikifika usiku anaenda kulala chini ya karavati
Wapi hapa Denmark au?wambie waache uboya
View attachment 3139399
Sehemu yoyote ukiwa na pesa ni kama unaishi new yorkukiishi dar ni kama umeishi NEW YORK CITY watu mikoani mjitafakari upya.
Aaah aah aah karavati ???
Halafu kibaya zaidi wengi wao wametoka huko huko wakiwa na ndevu zao.Hawa jamaa wanazingua sana
Dar siku hizi napo si mkoani tu tanzania ni dodoma period.Habari, Tangu jana Kuna nyuzi zinatembea humu kutusimanga watu wa mikoani watu wa darslam tumewakosea nini??? Mtupumzishe jamani au mnataka watu wote waishi DAR???
Hamjuwi kutumia vyoo.Habari, Tangu jana Kuna nyuzi zinatembea humu kutusimanga watu wa mikoani watu wa darslam tumewakosea nini??? Mtupumzishe jamani au mnataka watu wote waishi DAR???
Wazee wa chipsi
UNAKULA BATA MPAKA KUKU WAANAONA WIVU 😅😅Sehemu yoyote ukiwa na pesa ni kama unaishi new york
Kwenye utafiti wako ulichukua SAMPLE SOACE ya ngapi??Na vidude vyao vina ukubwa kama kipande cha chips
Wakuja ndiyo mnachafuwa.Nyinyi wenyewe hamjui kwenye uwanja kambarage Nyerere ni aibu
Akimiliki sofa na kitanda na feni anaona ametoboaWatu wa dsm ujanja wao ni maneno tu. Ila kiuhalisia wengi wao ni choka mbaya. Wakishamiliki geto ndo wanaona wamemaliza, mtu anakaa dsm miaka zaid ya mitano ukija kumchek hana ht asset za maana zaid ya asset za geto tu, na hapo ndo anajiona mjanja kinoma.