Kwanini watu wa Kilimanjaro mnapenda sana chai?

Kwanini watu wa Kilimanjaro mnapenda sana chai?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Nilivyoendaga Moshi nilishangaa Sana yaani kila nyumba hukosi chai kwenye thermos mnaabudu mpaka chai inawapa uchangamfu au maana sijui kwanini mtu anakunywa chai tu na anashiba kwa Imani bila hata vitafuno.
 
Back
Top Bottom