Kwanini Watu wa Medani hizi Kubwa, Nyeti na Muhimu hapa Tanzania huwa hawapendi Kuoana wao kwa wao?

Tulio nje ya dar hatujui izo medani

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Kumbe Dada ........Yale Yale ya lizaboni.....Elizabeth boniface

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Hua natamani sana kukuona/kukujua physically.. nakumbuka tu ajenda yako ya PM kuleee...! we jamaa bwn!
Mungu ni mwema, inapendeza ndugu kukutana, iko siku tutakutana uso kwa uso.
 
Hiyo namba 2 wanaoana sana. Na Mara nying km ukioa au kuolewa naye basi na wewe unakuwa informer/agent.( kuwa agent haimaniishi ndiyo umeshakuwa suti nyeusi)
 
Sababu kubwa ni ubize na hivyo anaona Bors kuoa /kuolewa na watu wa Medani zingine ili tu awe angalau free kwa watoto kupata usimamiz wa mzazi mmoja wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hapo utakuwa umetutenga wengine tusiofahamu dar ni vema ukafafanua ili tuweze kuelewa wote
 
Sisi wa Nkyaka Nkunde na Kolomije tunapita kimyakimya.
 
Sasa kama hujaelewa si unakaa kando walioelewa wachangie, kwani kila thread lazima uelewe/uchangie mbona thread nyingine huwa mnazipita bila kufungua, kwanini hii, [emoji23][emoji23][emoji23]wa MKOA bhna, haya na liwatoke povu sasa.
 
Kama hujaewa, Upanga ni jeshi jwtz, posta karibu na exim bank ni Polisi, osterbay ni tiss usalama wa taifa
 
Hata mm nakuunga mkono kabsa ktk hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama hujaelewa si unakaa kando walioelewa wachangie, kwani kila thread lazima uelewe/uchangie mbona thread nyingine huwa mnazipita bila kufungua, kwanini hii, [emoji23][emoji23][emoji23]wa MKOA bhna, haya na liwatoke povu sasa.
Halafu wanataka waelewe wakati majibu hawana. [emoji23] [emoji23] [emoji23] anaetaka kuelewa aje pm na sh. Elfu kumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…