Kwanini watu wa simba wanapenda kujitoa ufahamu?

Kwanini watu wa simba wanapenda kujitoa ufahamu?

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Sio viongoz sio mashabiki wote wanajizima data yani kiukweli wanatia aibu na kuidharirisha taasisi kubwa kama ile, sasa oneni alichoondika afisa habari wenu.

#Ahmed ally

Hadi sasa hakuna elie weza kuvunja rekodi yake Katika ligi hii ya Tanzania Katika kufumania nyavu🦁

1686549464972.png


Swali: JE HAMJUI MOHAMMED HUSSEIN MMACHINGA AU NDO KASAHAU KUNYWA DAWA ZAKE
 
Sio viongoz sio mashabiki wote wanajizima data yani kiukweli wanatia aibu na kuidharirisha taasisi kubwa kama ile, sasa oneni alichoondika afisa habari wenu.

#Ahmed ally

Hadi sasa hakuna elie weza kuvunja rekodi yake Katika ligi hii ya tanzania Katika kufumania nyavu[emoji881]

View attachment 2654712

Swali: JE HAMJUI MOHAMMED HUSSEIN MMACHINGA AU NDO KASAHAU KUNYWA DAWA ZAKE
hana analojua

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom