sio issue ya mikoa tuBila shaka unaongelea kijijini mbeya, na huko Mara tarime,
Hivi ushawahi enda kijijini tanga? Kondoa, pwani, singida?
Ha ha ha! Unajaribu kutukumbusha habari za Mfalme Zumaridi. Mahabusu wiki tu akarudi kwenye uhalisia wake.Ni kwa sababu ya Kazi ngumu na kukosa vitakasa mwili kama sabuni na mafuta. Kazi ngumu na jua kali vina zeesha mwili.
Watu wa vijijini jua lote la siku linaishia kwenye mwili, hawapati virutubisho vya ngozi, lishe duni, n.k.
Mwili unahitaji matunzo, kuogeshwa na sabuni, kupakwa mafuta, kukingwa na jua.
Lakini pia watu wa mjini hasa wanawake wana vitu bandia vingi kwenye miili yao. Nywele bandia, uso bandia ulio kandikwa angel face, kope bandia, wanja n.k.
Mwisho ni mavazi, mavazi pia yanafanya mtu apendeze, watu wa vijijini hawana mavazi mazuri, mavazi yame fubaa n.k.
Lingsnisha hao wa vijiji vya Tanga na wanaoishi miji ya Tanga. Kuna namna fulani ya kufubaa wayu wa vijijini.Bila shaka unaongelea kijijini mbeya, na huko Mara tarime,
Hivi ushawahi enda kijijini tanga? Kondoa, pwani, singida?
Kijana una moaka mingapi kwa sasa?Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !
Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.
Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwΓ kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.
Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwΓ karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.
Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bΓ si wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
Picha ziko wapi?Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !
Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.
Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwΓ kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.
Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwΓ karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.
Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bΓ si wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
Aiseee mambo ya watoto mngeyaachaMbona mtoto wa Rihanna anaishi USA Mama Bilionea na Baba Milionea lakini amefanana na HAMORAPA?
Bantu Face hio, haijibu hoja. Huyo mtoto anangozi nzuri kuliko ya Hamo.Huyu mtu asiandamwe apingwe kwa hoja kama hiziView attachment 2519733
NB: utajiri wa Rihanna ni Sawa na utajiri Wa Mo wetu.
Sasa hao wa vijijini huko tanga wakienda mjini watakuwa zaidi ya unavyowaona.Bila shaka unaongelea kijijini mbeya, na huko Mara tarime,
Hivi ushawahi enda kijijini tanga? Kondoa, pwani, singida?