Kwanini watu wakisifiwa kupendeza hujibu hivi?

Kwanini watu wakisifiwa kupendeza hujibu hivi?

Joined
Jul 12, 2017
Posts
84
Reaction score
77
msichana yoyote ukimsifia kavaa vizuri anajitikia ahsante lakin ,kwa mwanaume akisifiwa utamskia anajibu kawaida tu! hii ikoje?
 
Mwanamke kaumbwa kupokea sifa. That's what they are.
 
Sema jinsia yako kwanza kabla hatujaanza kukujibu, Me, Ke, au Trans
 
Huyo mwanaume anayemwambia mwanaume mwenzie kapendeza tena kwa Kiswahili ujue kuna walakini, itakuwa Mende kaona choo
 
Jibu mubashara kabisa unapoambiwa umependeza na mtu yeyote ni "Ahsante" ukiongeza zaidi ya hilo hujiamini.
 
hyo ndyo asli kiongozi

mwanamke na mwanaume wote wakiwa na matumbo makubwa basi moja litauitwa ana kitambi na lengine wataita ana mimba
 
Ni kawaida ndio, au we unaonaje mkuu!!!
 
msichana yoyote ukimsifia kavaa vizuri anajitikia ahsante lakin ,kwa mwanaume akisifiwa utamskia anajibu kawaida tu! hii ikoje?
Au wanaume wengine wakisifiwa mfano "suti yako nzuri", hujibu - "

Ah, hii? Basi ngoja uje uzione nyingine nilizokuwa nazo nyumbani, utachoka"
 
Back
Top Bottom