Duniani Kila Kitu Kinalika Ni Maarifa Tu Ya Ndio Tunakosa Kwenye Mapishi Husika.Unakulaje hii kitu jamani[emoji23][emoji23]
Samaki ni Samaki(Pisces) sio Reptile wala AmphibiaHuyo Ni reptile wakati samaki Ni amphibians
Huyo ni kobeKatika pita pita zangu nikakutana na taarifa ya kuwa watu wa nne wamefariki na wengine 40 kulazwa hospitalini baada ya Kula samaki Aina ya Kasa huko Tanzania visiwani ..
Na hii inakuja baada ya takriban mwez mmoja watu Saba kufa na wengine kadhaa kulazwa baada ya Kula samaki huyo huyo aitwaye kasa
Kwa wenye uelewa huyu samaki ana sumu ya aina gani?
Na kwanini watu wanaendelea kumla ilhali madhara yake yanaonekana pindi unapomla? Au ni mtamu sana kias kwamba wanazengo they don't care kuhusu sumu yake?
View attachment 2057990
Huyo siyo samaki, ni Kobe wa bahariniKatika pita pita zangu nikakutana na taarifa ya kuwa watu wa nne wamefariki na wengine 40 kulazwa hospitalini baada ya Kula samaki Aina ya Kasa huko Tanzania visiwani ..
Na hii inakuja baada ya takriban mwez mmoja watu Saba kufa na wengine kadhaa kulazwa baada ya Kula samaki huyo huyo aitwaye kasa
Kwa wenye uelewa huyu samaki ana sumu ya aina gani?
Na kwanini watu wanaendelea kumla ilhali madhara yake yanaonekana pindi unapomla? Au ni mtamu sana kias kwamba wanazengo they don't care kuhusu sumu yake?
View attachment 2057990
Amphibians ni vyura mkuuHuyo Ni reptile wakati samaki Ni amphibians
Huyo Ni reptile wakati samaki Ni amphibians
Kinachowaponza wakazi wa pwani ni kuwa kila kiumbe wa baharini wao wanaita Samaki na wanakula!!!Katika pita pita zangu nikakutana na taarifa ya kuwa watu wa nne wamefariki na wengine 40 kulazwa hospitalini baada ya Kula samaki Aina ya Kasa huko Tanzania visiwani ..
Na hii inakuja baada ya takriban mwez mmoja watu Saba kufa na wengine kadhaa kulazwa baada ya Kula samaki huyo huyo aitwaye kasa
Kwa wenye uelewa huyu samaki ana sumu ya aina gani?
Na kwanini watu wanaendelea kumla ilhali madhara yake yanaonekana pindi unapomla? Au ni mtamu sana kias kwamba wanazengo they don't care kuhusu sumu yake?
View attachment 2057990
Nije saangapiKasa mtam sana akipikwa anakua kama supu ya nyama ya ng'ombe aliyenonaaa sana! Ukija kwangu nikakupa kasa wala hutojua labda utofautishe ladha! Na siye wavuvi tunajua kasa mwenye sumu ni yup! Pwan tunamla saana! Ukisikia watu wamekufa jua ni bahat mbaya tu! Kama ambavyo unaweza sikia watu wamekufa kutokana na food poison. Karibu pwan
Samaki ni amphibian! How? Do they sustain both in land and water?Huyo Ni reptile wakati samaki Ni amphibians
Saa moja jionNije saangapi