Kwanini watu wanakula Kasa licha ya wengine kufa kwa sumu waliyonayo?

huyu samaki niliwahi kumla kama miaka mitano iliyopita nikiwa kisiwani pemba,ni mtamu sana na akipikwa nyama yake inakuwa kama ya ngombe ila huyu amezidi utamu mara dufu aisee na ukishakula basi hata uambiwe samak hawa wana sumu huwezi kukubali yani kama wana arosto fulani huelew wala husikii ukimpata utamla tu hata kama kwa wasiwasi ni kama yule mwingine wanamwita bunju..siku izi wamegundua njia mpya kabla ya kumla wanampa paka au kuku halafu wanamsikilizia kama atakufa au atapona,basi kama akipona watu wanaweka jibu huyu hana sumu msos unaendelea kuliwa.

yan hata hapa naandika nimesikia wana sumu lakini wallahi itokee amevuliwa sasa hivi basi naenda kununua nimle.Sasa sijui ni ujinga,arosto ama upumbavu gani huu wakat nyama zipo kibao tu.!

Nashauri wataalam wa hawa viumbe watoe elimu na vitengo husika viweke mikazo haswa na adhabu juu kwa watakaowavua wanyama wa hivi wawarudishe tu majini ili tuachane nao kwa lazima.
 
Kasa wapo wa aina nyingi kuna wenye sumu na wasiokuwa na sumu utakae bahatika ndo huyo huyo.
 
We jamaa bana
 
Inashangaza, maana wanaokufa,na watu wa maeneo ya uvuvi/bahari inakujae wasijue kuwatofautisha?..
 
Unavulia wapi!?
 
Hakuna samak wala mnyama ambaye n halili kuliwa mzur kama kasa alafu utengenezaj wa kasa ni mtwara na visiwa vya mafia kojani nd wanajua hyo nyama achana nayo
 
Aisee
Sasa tunamjuaje mwenye sumu na yupi asiye na sumu?

Nataka nianze kuwafuga wa nyama
 
Mchina anakula kila kitu akiwemo nyoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…