Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 142
Shukrani mkuu kwa hongera zako.
Mi bado nipo nipo natarajia kuoa 2012 nipo kwenye mchakato wa kupata BRAND NEW.
Yeah ni kweli kukumbushia muhimu na kama umeoa mke used ukae ukijua mahawala iwa hawaachani hata wakipotezana miaka 20 au 30 lazima wakumbushie penzi lao la dhamani hii haikwepeki.
myth tu....tena mwanamke ''UKIM-BIKIRI'' ndo umemaliza kazi........!
Ni tabia ya mtu na tabia haina dawa......Alafu mm haka katabia ka kukumbushia ninako sana hata nikienda kijijini lazima nikumbushie nikienda Chuda lazima nikumbushie nikienda Shycom lazima nikienda Mbeya lazima nitafute koloni langu la enzi hilo na tunakumbushia.
Kufanya maamuzi ya haraka hupelekea kujutia na baadae kusema laiti ningelijua.....Kuna wimbo mmoja wa zilipendwa uliimbwa na bendi ya JWTZ (Jeshi la Wakurya Tangu Zamani???), una kibwagizo......."tuachane kwa wema mamaa, ili tukijakutana popote pale, tusalimiane, ikiwezekana turudiane (of course siyo TUKUMBUSHIANE!!!), cha kujiuliza je, mliachana mkiwa mnapendana? Au nini kilisababisha kutengana kwenu? Kuna rafiki yangu mmoja, yeye alikuwa bado anasoma sec. school, alikuwa na gf wake ambaye kuna siku alimwambia (rafikiangu), achague kusoma au waoane, jamaa akachagua kusoma!! Baada ya miaka kadhaa kupita, jamaa akiwa tayari ameoa na bibie ameolewa, walikutana na kuanza "KUKUMBUSHIA", jamaa wana miaka zaidi ya mitano BADO WANAKUMBUSHIA!!!!!
Nguli.... mapenzi yakiwa kwenye peak mnaachananaje hadi mje mkumbushie...fafanuaMkuu! hii inatokea automatic esp pale mnapokutana maeneo ambayao mapenzi yalikuwa kwenye peak. Pia kama uliyoko naye kwa hivi sasa hana quality za ex mkikutana mnaweka mikono juu mnasahau shida zenu.
Hamuombani, yaani siku ukikutana naye
Hizi automatic mhhhh....
Kama umeoa( Fidel) brand new wakati wewe ni used!Mkulu,
Hongera zako,kwani kwa maneno mengine wewe Umeoa BRAND NEW au siyo?
Naomba nami niweke senti mbili zangu kama ifuatavyo.
Niliwahi kusikia kutoka kwa watu walioshi miaka ileeeee ya 47 kuwa moja ya sababu zilizokuwa zinawafanya watu kuoa mapema ni kuepuka kuonjaonja huku na kule na kujikuta ukitangatanga hata baada ya kuingia kwenye ndoa. Ukiwa na tabia ya sampling basi utapata shida sana maishani mwako maana hutaacha kulinganisha.Utakuwa kila mara unalinganisha huyu na yule na yule.... na ukipata mwanya tu basi ndio mambo ya kukumbushia hutokea.
Ukiingia kwenye ndoa za kulazimisha na mtu ambaye hukuwa tayari naye kwa sababu moja ama nyingine, au ukikatizwa penzi wakati haukuwa tayari kuachana na mwenzio..chances are kweli mtakumbukia mkipata nafasi hasa kama hamjali maadili, wala kuogopa Mungu.
..Mh! Si kweli Fidel...Yeah ni kweli kukumbushia muhimu na kama umeoa mke used ukae ukijua mahawala iwa hawaachani hata wakipotezana miaka 20 au 30 lazima wakumbushie penzi lao la dhamani hii haikwepeki.
kwa hiyo mzee HAUKUMBUSHIAGI KABISA?......😀
ACHA UONGO NGULI.....!Niliwahi kuweka istoaria yangu hapa na Mrs Nguli, tulikutana UD nikiwa na miaka 22 nimetokea seminary nilikouasi upadirisho. so she is my first n last in Jesus name Amen. So sina wakukumbushia.
bahati ni kuwa sina pa kukumbushia! NILIPOPATA MIMI NI HAPO TU!
anakudanganya kaiza!hehehehehaya mzee all the best
..Mh! Si kweli Fidel...
Naomba nami niweke senti mbili zangu kama ifuatavyo.
Niliwahi kusikia kutoka kwa watu walioshi miaka ileeeee ya 47 kuwa moja ya sababu zilizokuwa zinawafanya watu kuoa mapema ni kuepuka kuonjaonja huku na kule na kujikuta ukitangatanga hata baada ya kuingia kwenye ndoa. Ukiwa na tabia ya sampling basi utapata shida sana maishani mwako maana hutaacha kulinganisha.Utakuwa kila mara unalinganisha huyu na yule na yule.... na ukipata mwanya tu basi ndio mambo ya kukumbushia hutokea.
Ukiingia kwenye ndoa za kulazimisha na mtu ambaye hukuwa tayari naye kwa sababu moja ama nyingine, au ukikatizwa penzi wakati haukuwa tayari kuachana na mwenzio..chances are kweli mtakumbukia mkipata nafasi hasa kama hamjali maadili, wala kuogopa Mungu.
Kama umeoa( Fidel) brand new wakati wewe ni used!
Siyo swala la justification... ukinisoma kwa undani utaona kuna mambo mengi sana katika nilichokiandika. Kwa uchache:-Kwa muhtasari tu wa uliyoandika hapo ni kwamba kukumbushia ni rukhsa ila tu lazima uwe na ''justification''!! 🙂
ACHA UONGO NGULI.....!
tunajua
jamani hii hatari eeh na hii Topic iko vere sensitive
Hivi mabinamu nyie mkikutana na ma -X wenu milioachana nao kwa uzuri mnaweza kukumbushia?
ZD ,Geoff ,Nguli ,Xpin Kaizer ..,camel MJ1 ,bht ,Pretty ,Lilly,Pearl ,na wewe Klorokwin dawa ya Maralia ...
lakini si vyema kukumbushia labda kama mko singo mnaweza kuurudisha uhusiano ili uchukue hatua mpya zaidi
haya mzee all the best
Yeah ni kweli kukumbushia muhimu na kama umeoa mke used ukae ukijua mahawala iwa hawaachani hata wakipotezana miaka 20 au 30 lazima wakumbushie penzi lao la dhamani hii haikwepeki.