nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,408
- 2,196
Kama umewasikiliza akina Wasira na Kingunge wakiwa TBC1 wamempinga Warioba kwa hoja. Sema tu hupendi warioba akosolewe. Huwezi kutatua matatizo ya ndoa kwa kuongeza idadi ya wanawake
Hebu nambie kuna kundi gani lingine linalo pinga hoja za warioba zaidi CCM?
kasome waraka makini kuhusu swala zito la Muungano kutoka kwa askofu Paul Ruzoka na kikundi chake cha CPT utabadili mwelekeo hata Mimi nilikuwa kama wewe lakini hotuba ya warioba na ule waraka ni habari ya serikali 3 .utaelewa tu.