Haaahaaa...haya banaTukikaa tunaangalia nje ili tupate hewa mkuu si unajua tena kacosta kadogo tuko abiria 200+
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bibi wewe!!kisa cha kupunguza mwili ni nini!!! Mbona miye naona umzuri jamaan!mazoezi waachie wadada wa mjini wenye mishepu mibayaa kama open kitchenAsante mkwe. Effects za mazoezi hizo. Nilijitia nataka kuwa fit haraka nikaoverdo. Natembea kama ndama alietoka kuzaliwa sasa hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Li-V8 limekushinda nini mkuu?
Hahahahah..eti open kitchen[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bibi wewe!!kisa cha kupunguza mwili ni nini!!! Mbona miye naona umzuri jamaan!mazoezi waachie wadada wa mjini wenye mishepu mibayaa kama open kitchen
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani kila nikika sasa hiv naomba Mungu nipone tu hii miguu.Vibonge tunapenda mazoezi lakini hadha tuipatayo..Mungu tu ndio anajua
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kwenda marathon mkwe ndo najiandaa. [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bibi wewe!!kisa cha kupunguza mwili ni nini!!! Mbona miye naona umzuri jamaan!mazoezi waachie wadada wa mjini wenye mishepu mibayaa kama open kitchen
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mama weeeeee!!huu sasa utapeli huu!kaaahh!Nataka kwenda marathon mkwe ndo najiandaa. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaa. Nitakushangaza nakwambia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mama weeeeee!!huu sasa utapeli huu!kaaahh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushaanza nishangaza kwa kuumwa miguu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hata Mimi sina gari ndugu yangu
Inabidi tukaweke kambi kwenye uzi wa tax servicesHata Mimi sina gari ndugu yangu
Huyo Ninja ni yule wa Mambo ya ndani!!?Napendaga tu kuangalia wanaoendesha magari mazuri. Sasa kuna siku kimbelembele changu hiki wakati navuka barabara kukawa na Prado kali nikaisimamisha nivuke. Ile kumuangalia driver nusu nianguke barabarani. Alikua kavaa ninja na katia kinyago kwa juu. Nilihisi nimekutana na jambazi. Ila hiyo tabia sijaacha. Nikiona vigari vya kawaida wala siangalii ila haya mazuri naangalia tu nasema one day yes
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni gari kwaajili ya usafiri wa umma (Public Transport). Humu anapanda yeyote ilimradi awe na nauli yake. Na huwezi kumzuia mtu asipande (mfano bonge kutokana na nafasi), ni kosa kisheria na akiamua kukushtaki kwenye mamlaka huchomoki.