Kwanini Watu wanaoendesha magari binafsi wanapenda kuwachungulia walio kwenye daladala?

Asante mkwe. Effects za mazoezi hizo. Nilijitia nataka kuwa fit haraka nikaoverdo. Natembea kama ndama alietoka kuzaliwa sasa hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bibi wewe!!kisa cha kupunguza mwili ni nini!!! Mbona miye naona umzuri jamaan!mazoezi waachie wadada wa mjini wenye mishepu mibayaa kama open kitchen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Ninja ni yule wa Mambo ya ndani!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…