Kwanini watu wanaogopa kujamba kwa sauti?

Daah...Wengine Tuna-sound km Baja Afu ina magnitude hiyooo Inaweza Dondosha kabati....
 
Gesi ya chakula kilochovunda siyo nzuri...

Kujamba kwa sauti ni chooni tu.. Mbele za watu sogea au usijambe kabisa, ni uchafu kwa wengine...


Cc: mahondaw
 
Mbona Mimi huwa siogopi kujamba mbele ya qqtu. Hua wanaona kama masihara lakini Mimi naachia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…