chanawalleti
Member
- Jul 16, 2016
- 49
- 45
Nilienda kupima vvu last month nilivyofika pale jinsi tuu nilivyokua najiamini hadi yule mhudumu alishangaa tulipiga stori kama ndugu badae nikapokea majibu nipo positive akanipa rufaa kwenda kitengo cha dawa arvs pia nilipofika pale yule mhudumu tulipiga stori sana alikua anashangaa ni jinsi gan najiamini nikapima uzito urefu, cd4 nk.
Baada ya siku nikaenda kuangalia cd4 nikaanza dawa nikapata somo la dawa nilichojifunza na kila napoenda pale asilimia ya wagojwa wengi wanaokuja kuchukua dawa pale wanaogopa pia wanasubiri mpaka kinga ishuke sana niliona kweli watu.
Wamekonda balaa maana tayari washapata magonjwa nyemelezi, pia wengi wana acha dawa kiukweli nimejifunza kitu kutokana na hizi dawa maana ukizimeza huwa unakua kama unachanganyikiwa.
Unaona vitu vya ajabu ajabu sana pia hizi dawa vidonge ni vikubwa mno vinatisha, pia hizi dawa ukinywa kama hujala utajuta pia nilichojifunza watu wengi wengi huogopa sana kwenda kuchukua dawa wakiona kua wataonekana na watu wanaowafahamu ila ushauri ni kujitokeza na kupima afya yako na kuanza dawa mfano mimi nilivyo now mpaka mtu ujue natumia ni vigumu sana.
Baada ya siku nikaenda kuangalia cd4 nikaanza dawa nikapata somo la dawa nilichojifunza na kila napoenda pale asilimia ya wagojwa wengi wanaokuja kuchukua dawa pale wanaogopa pia wanasubiri mpaka kinga ishuke sana niliona kweli watu.
Wamekonda balaa maana tayari washapata magonjwa nyemelezi, pia wengi wana acha dawa kiukweli nimejifunza kitu kutokana na hizi dawa maana ukizimeza huwa unakua kama unachanganyikiwa.
Unaona vitu vya ajabu ajabu sana pia hizi dawa vidonge ni vikubwa mno vinatisha, pia hizi dawa ukinywa kama hujala utajuta pia nilichojifunza watu wengi wengi huogopa sana kwenda kuchukua dawa wakiona kua wataonekana na watu wanaowafahamu ila ushauri ni kujitokeza na kupima afya yako na kuanza dawa mfano mimi nilivyo now mpaka mtu ujue natumia ni vigumu sana.