Kwanini watu wanapuuzia kumuomba Mungu wakati Mungu anasikia na kujibu maombi?

Kwanini watu wanapuuzia kumuomba Mungu wakati Mungu anasikia na kujibu maombi?

Setfree

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
1,679
Reaction score
2,123
Watu wana shida kibao zisizotatulika. Watu wana matatizo mengi yaliyo juu ya uwezo wao; wanalia maisha magumu lakini hawana mlango wa kutokea. Watu wanatafuta “solution” ya shida za kifamilia, za kibiashara, kikazi, kimasomo lakini hawaoni mwanga mbele. Ukiwaambia wamuombe Mungu, anaweza kuwasaidia, wanabeza, wanacheka, wanadharau na wengine watakutukana na kudai eti Mungu hayupo, kama yupo thibitisha.

Mimi leo nathibitisha Mungu yupo, anasikia maombi, na yuko tayari kutupa haja za mioyo yetu kama alivyoahidi:

Kila mara namuomba Mungu anilinde safarini. Nimesafiri safari nyingi sana za angani, baharini na barabarani. Katika safari zote hizo Mungu ameniepusha na ajali na hatari nyingi za waziwazi. Kuna nyakati mbili tofauti, majambazi walinivamia njiani, Mungu aliniokoa na kuwasambaratisha.

Nilimuomba Mungu nipate mwenzi mzuri wa ndoa, nikapata. Sijajuta tangu tufunge naye ndoa maana tunaishi naye vizuri.

Niliwahi kukopa mamilioni ya pesa benki – mara tatu, nikamuomba Mungu aniwezeshe kulipa pesa zote na “interest” bila kuchelewa. Mungu alisikia akaniwezesha.

Niliomba nipate kazi nzuri, Mungu alisikia. Nilipata kazi yenye mshahara mnono.

Niliomba Mungu anipe ujuzi na maarifa mbalimbali, Mungu amefanya.

Kwa habari ya magonjwa, nasema kweli tupu, Mungu ameniponya magonjwa mengi kwa miujiza baada ya kumuomba.

Wachawi wameishanivamia si mara moja, lakini kwa maombi, wamepigwa na kuaibika.

Wanaosema eti Mungu hayupo, tuwasamehe tu bure, hawajui wasemalo.

Baada ya kusikia ushuhuda huo wa kweli, naamini hutapuuzia tena kumuomba Mungu.

Mathayo 7:7-12 (NEN)
“Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni nanyi mtapata; bisheni nanyi mtafunguliwa mlango. Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango. Au ni nani miongoni mwenu ambaye mwanawe akimwomba mkate atampa jiwe? Au mwanawe akimwomba samaki atampa nyoka? Basi ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wamwombao?"
 
Mungu yupi mkuu unaemsemea?
Yule aliyetuma mbwa mwitu akaua watoto zaidi ya 20 kisa wamemtania mtumishi wake?

Mungu Huyu huyu anayeruhusu watoto wadogo wabakwe pasi na msaada wowote?

Mungu huyu huyu ambaye anaruhusu vita kila kona ya Dunia?

anakusaidia wewe tu, wengine hawaoni?
 
Watu wana shida kibao zisizotatulika. Watu wana matatizo mengi yaliyo juu ya uwezo wao; wanalia maisha magumu lakini hawana mlango wa kutokea. Watu wanatafuta “solution” ya shida za kifamilia, za kibiashara, kikazi, kimasomo lakini hawaoni mwanga mbele. Ukiwaambia wamuombe Mungu, anaweza kuwasaidia, wanabeza, wanacheka, wanadharau na wengine watakutukana na kudai eti Mungu hayupo, kama yupo thibitisha.

Mimi leo nathibitisha Mungu yupo, anasikia maombi, na yuko tayari kutupa haja za mioyo yetu kama alivyoahidi:

Kila mara namuomba Mungu anilinde safarini. Nimesafiri safari nyingi sana za angani, baharini na barabarani. Katika safari zote hizo Mungu ameniepusha na ajali na hatari nyingi za waziwazi. Kuna nyakati mbili tofauti, majambazi walinivamia njiani, Mungu aliniokoa na kuwasambaratisha.

Nilimuomba Mungu nipate mwenzi mzuri wa ndoa, nikapata. Sijajuta tangu tufunge naye ndoa maana tunaishi naye vizuri.

Niliwahi kukopa mamilioni ya pesa benki – mara tatu, nikamuomba Mungu aniwezeshe kulipa pesa zote na “interest” bila kuchelewa. Mungu alisikia akaniwezesha.

Niliomba nipate kazi nzuri, Mungu alisikia. Nilipata kazi yenye mshahara mnono.

Niliomba Mungu anipe ujuzi na maarifa mbalimbali, Mungu amefanya.

Kwa habari ya magonjwa, nasema kweli tupu, Mungu ameniponya magonjwa mengi kwa miujiza baada ya kumuomba.

Wachawi wameishanivamia si mara moja, lakini kwa maombi, wamepigwa na kuaibika.

Wanaosema eti Mungu hayupo, tuwasamehe tu bure, hawajui wasemalo.

Baada ya kusikia ushuhuda huo wa kweli, naamini hutapuuzia tena kumuomba Mungu.

Mathayo 7:7-12 (NEN)
“Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni nanyi mtapata; bisheni nanyi mtafunguliwa mlango. Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango. Au ni nani miongoni mwenu ambaye mwanawe akimwomba mkate atampa jiwe? Au mwanawe akimwomba samaki atampa nyoka? Basi ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wamwombao?"
Ili upate unayoyaomba, zingatia vigezo na masharti...
 
Mungu yupi mkuu unaemsemea?
Yule aliyetuma mbwa mwitu akaua watoto zaidi ya 20 kisa wamemtania mtumishi wake?

Mungu Huyu huyu anayeruhusu watoto wadogo wabakwe pasi na msaada wowote?

Mungu huyu huyu ambaye anaruhusu vita kila kona ya Dunia?

anakusaidia wewe tu, wengine hawaoni?
Maswali yako yote ni rahisi. Ntakujibu...
 
Watu wana shida kibao zisizotatulika. Watu wana matatizo mengi yaliyo juu ya uwezo wao; wanalia maisha magumu lakini hawana mlango wa kutokea. Watu wanatafuta “solution” ya shida za kifamilia, za kibiashara, kikazi, kimasomo lakini hawaoni mwanga mbele. Ukiwaambia wamuombe Mungu, anaweza kuwasaidia, wanabeza, wanacheka, wanadharau na wengine watakutukana na kudai eti Mungu hayupo, kama yupo thibitisha.

Mimi leo nathibitisha Mungu yupo, anasikia maombi, na yuko tayari kutupa haja za mioyo yetu kama alivyoahidi:

Kila mara namuomba Mungu anilinde safarini. Nimesafiri safari nyingi sana za angani, baharini na barabarani. Katika safari zote hizo Mungu ameniepusha na ajali na hatari nyingi za waziwazi. Kuna nyakati mbili tofauti, majambazi walinivamia njiani, Mungu aliniokoa na kuwasambaratisha.

Nilimuomba Mungu nipate mwenzi mzuri wa ndoa, nikapata. Sijajuta tangu tufunge naye ndoa maana tunaishi naye vizuri.

Niliwahi kukopa mamilioni ya pesa benki – mara tatu, nikamuomba Mungu aniwezeshe kulipa pesa zote na “interest” bila kuchelewa. Mungu alisikia akaniwezesha.

Niliomba nipate kazi nzuri, Mungu alisikia. Nilipata kazi yenye mshahara mnono.

Niliomba Mungu anipe ujuzi na maarifa mbalimbali, Mungu amefanya.

Kwa habari ya magonjwa, nasema kweli tupu, Mungu ameniponya magonjwa mengi kwa miujiza baada ya kumuomba.

Wachawi wameishanivamia si mara moja, lakini kwa maombi, wamepigwa na kuaibika.

Wanaosema eti Mungu hayupo, tuwasamehe tu bure, hawajui wasemalo.

Baada ya kusikia ushuhuda huo wa kweli, naamini hutapuuzia tena kumuomba Mungu.

Mathayo 7:7-12 (NEN)
“Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni nanyi mtapata; bisheni nanyi mtafunguliwa mlango. Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango. Au ni nani miongoni mwenu ambaye mwanawe akimwomba mkate atampa jiwe? Au mwanawe akimwomba samaki atampa nyoka? Basi ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wamwombao?"
Naomba basi uwe mwalimu wangu na mimi nimjue kama wewe.

Alafu samahani juzi nilikuwa sipo tayari kukusikiliza lakini sasa nipo tayari 🤭
 
Imani ni ndogo sana, imagine eti "ungekuwa na imani hata chembe ya haradali ungeuambiwa huu mlima ng'oka ungekutii..."
Means imani yetu ni ndogo sana inahitaji microscope kuiona.
Namaanisha nini? Utasema mbona naamini na nasali sana?

Imani inaambatana na matendo soma Yakobo 2, kama matendo hayaendani na unachoamini hio imani imekufa, lakini ngoja! mbona alisema ombeni nanyi mtapewa tafuteni mtaona bisheni mtafunguliwa Math 7:7.

Ni kweli kabisa lakini haitoshi tu kuomba inabidi ufanye sawa na mapenzi yake vile atakavyo ndipo atakujibu soma Yohana 14:13-14.

Sala ya mathayo 6 imeandikwa "...utusamehe deni zetu(au makosa) kama nasi tuwasemehavyo wengine" jiulize ni watu wangapi haujawasamehe haijalishi wamekukosea vipi!

Kuna wale tunaosema kesho nitafanya hiki mwezi ujao nitaenda mji fulani na kufanya 1,2,3 badala ya kusema Mungu akipenda nita... kiburi cha uzima chatoka wapi?
Yak 4:13-17

TAFAKARI CHUKUA HATUA.
 
Sijui kama kuna madarasa kiroho labda unieleweshe
Maana yangu ni hii: Ili niwe mwalimu wako mzuri, nahitaji kujua ufahamu wako wa kiroho ukoje ili nijue naanzia wapi kukufundisha. Labda jambo la kwanza nalohitaji kujua ni je, umeokoka au bado? Siku mtu anapookoka anakuwa kama ameanza darasa la kwanza la kiroho. Anakuwa hajui mambo mengi yampasayo kufanya. Hajui jinsi ya kuomba nk, nk.
 
Maana yangu ni hii: Ili niwe mwalimu wako mzuri, nahitaji kujua ufahamu wako wa kiroho ukoje ili nijue naanzia wapi kukufundisha. Labda jambo la kwanza nalohitaji kujua ni je, umeokoka au bado? Siku mtu anapookoka anakuwa kama ameanza darasa la kwanza la kiroho. Anakuwa hajui mambo mengi yampasayo kufanya. Hajui jinsi ya kuomba nk, nk.
Sijaokoka hivyo nitakua mwanafunzi wako wa chekechea
 
A
Watu wana shida kibao zisizotatulika. Watu wana matatizo mengi yaliyo juu ya uwezo wao; wanalia maisha magumu lakini hawana mlango wa kutokea. Watu wanatafuta “solution” ya shida za kifamilia, za kibiashara, kikazi, kimasomo lakini hawaoni mwanga mbele. Ukiwaambia wamuombe Mungu, anaweza kuwasaidia, wanabeza, wanacheka, wanadharau na wengine watakutukana na kudai eti Mungu hayupo, kama yupo thibitisha.

Mimi leo nathibitisha Mungu yupo, anasikia maombi, na yuko tayari kutupa haja za mioyo yetu kama alivyoahidi:

Kila mara namuomba Mungu anilinde safarini. Nimesafiri safari nyingi sana za angani, baharini na barabarani. Katika safari zote hizo Mungu ameniepusha na ajali na hatari nyingi za waziwazi. Kuna nyakati mbili tofauti, majambazi walinivamia njiani, Mungu aliniokoa na kuwasambaratisha.

Nilimuomba Mungu nipate mwenzi mzuri wa ndoa, nikapata. Sijajuta tangu tufunge naye ndoa maana tunaishi naye vizuri.

Niliwahi kukopa mamilioni ya pesa benki – mara tatu, nikamuomba Mungu aniwezeshe kulipa pesa zote na “interest” bila kuchelewa. Mungu alisikia akaniwezesha.

Niliomba nipate kazi nzuri, Mungu alisikia. Nilipata kazi yenye mshahara mnono.

Niliomba Mungu anipe ujuzi na maarifa mbalimbali, Mungu amefanya.

Kwa habari ya magonjwa, nasema kweli tupu, Mungu ameniponya magonjwa mengi kwa miujiza baada ya kumuomba.

Wachawi wameishanivamia si mara moja, lakini kwa maombi, wamepigwa na kuaibika.

Wanaosema eti Mungu hayupo, tuwasamehe tu bure, hawajui wasemalo.

Baada ya kusikia ushuhuda huo wa kweli, naamini hutapuuzia tena kumuomba Mungu.

Mathayo 7:7-12 (NEN)
“Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni nanyi mtapata; bisheni nanyi mtafunguliwa mlango. Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango. Au ni nani miongoni mwenu ambaye mwanawe akimwomba mkate atampa jiwe? Au mwanawe akimwomba samaki atampa nyoka? Basi ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wamwombao?"
Amina
 
Yule aliyetuma mbwa mwitu akaua watoto zaidi ya 20 kisa wamemtania mtumishi wake?
Walioraruliwa na dubu sio watoto, ni vijana, waliokuwa wanajua wakifanyacho(mzaha). Hatupaswi kamwe kuwafanyia mzaha au kuwadharau Watumishi wa Mungu. Kama kumdharau tu mwenzako ni dhambi(Mithali 14:21), sembuse kumdharau Mtumishi wa Mungu? Kumbuka yaliyompata Miriamu kwa kumnenea mabaya Musa.
 
Kutoka katika Yohana 14.....
"¹¹Niaminini ninapowaambia ya kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu na Baba yangu Yu ndani yangu..... ¹²Ninawaambia hakika, mtu yeyote akiniamini ataweza kufanya miujiza kama hii na hata zaidi..... ¹³Kitu chochote mtakachoomba kwa jina langu, nitawafanyia, ili Baba yangu apate kutukuzwa kwa yale ambayo mimi Mwanae nitawafanyia. ¹⁴Mkiniomba cho chote kwa jina langu nitawafanyia.”

Ni maneno yanayotia tumaini sana. Mungu anajibu maombi ila si kama tupendavyo sisi, mapenzi yake hutimia. Mwaka 2021 nilikuwa na orodha ya maombi yapatayo 9 au 7, sikumbuki vizuri. Yesu alijibu yote isipokuwa jambo moja. Na kati ya hayo mambo mengine yalikuwa pending kwa miaka kadhaa, mwaka ule yakajibiwa. Tofauti ni kuwa nilifunga siku 21. Kwa hilo ambalo Mungu hakujibu sijui, ila bado nina tumaini atajibu kwa wakati wake. Maana hapo napo Biblia pia inanihakikishia kuwa, "Mungu hawahi wala hachelewi, anajibu kwa wakati". Tumtumainie tu Yesu, haya maisha bila Yesu labda uwe mchawi.
 
Sijaokoka hivyo nitakua mwanafunzi wako wa chekechea
Asante kwa kuwa wazi. Sasa hatua ya kwanza kabisa ya kujibiwa maombi ni kuwa na uhusiano mzuri na Mungu. Ukiokoka, Mungu anakuwa Baba yako na wewe unakuwa mtoto wake. Ndio maana ya andiko lile la Mt 7:7-12, kwamba Baba yetu wa mbinguni atatupa vitu vilivyo vizuri...

Ukiomba Mungu akupe mahitaji yako wakati bado unaendelea kutenda dhambi, ni vigumu kupata majibu. Mungu hamsikii mwenye dhambi. Soma Yn 9:31 (SUV). Imeandikwa hivi: "Twajua ya kuwa Mungu hawasikii wenye dhambi; bali mtu akiwa ni mcha Mungu, na kuyafanya mapenzi yake, humsikia huyo."

Sala ya mwenye dhambi anayoisikia Mungu, ni sala au maombi ya toba. Kama nilivyosema, mwenye dhambi akiishatubu anakuwa mtoto wa Mungu, hapo ndipo lolote aombalo atapewa na Baba(Yn16:23).

Je, uko tayari kuokoka sasa nikuongoze sala ya toba?
 
Mungu Huyu huyu anayeruhusu watoto wadogo wabakwe pasi na msaada wowote?
Mungu anawapenda watoto na anasikia vibaya wanapofanyiwa uovu(Mathayo 18:6). Lakini kwa sasa, dunia hii imeathiriwa na dhambi ile ya wanadamu wa kwanza, Adam na Hawa. Uovu uliopo ni matokeo ya dhambi zetu wenyewe, sio kosa la Mungu.

Hata hivyo siku ya mwisho, Mungu atamhukumu kila atendaye uovu (Ufunuo 20:12). Hivyo hao wanaobaka watoto usifikiri wako salama wasipotubu.

Mungu hapendi uovu ndiyo maana alimtuma Yesu ili kuleta wokovu. Watu wote duniani wakiokoka, hakutakuwa na mtu wa kubaka watoto.
 
Back
Top Bottom