Kwanini Watu Wanatekwa, wanauwawa,Watu wengi wapo kimyaa?

Kwanini Watu Wanatekwa, wanauwawa,Watu wengi wapo kimyaa?

BOB LUSE

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
3,738
Reaction score
3,199
Tunasubiri nani atekwe ndio tuelewe hatuko salama Tanzania? Kwanini tumekuwa wanyama kiasi hiki? Kwanini hoja zinajibiwa Kwa risasi? Elimu zetu na zikoje mpaka watu wanashindwa kujibu Kwa hoja ? wanatumia usaidizi wa jeshi, usalama n.k
Upande wako Msomaji unataka nani asimame atetee uhai wa wenzetu wanaokamatwa na kuuwawa Kwa kutoa maoni yale yasiyopendwa na Serikali. Hawa watekaji wakimalizana na Wapinzani,Wanaharati, watahamia Kwa wananchi wasio na vyama na Wana CCM watauana wenyewe kwakuwa UPINZANI utakuwa miongoni mwao. Kwanini tuache nchi yetu,iwe chini ya utawala wa kiimla usio na Sheria?

Na wenzetu waliopewa majukumu ya kuuwa Kwaajiri ya kulinda maslahi na utawala wa Viongozi wao,Wanaelewa ukubwa wa laana na kisasi na adhabu inayo ambatana na kumwaga damu isiyo na Hatia? Ni swala linalomgusa Mungu Moja Kwa Moja ( Mithali 6:16-19)

Wake-up Tanzanian,We are under siege!
 
Tunasubiri nani atekwe ndio tuelewe hatuko salama Tanzania? Kwanini tumekuwa wanyama kiasi hiki? Kwanini hoja zinajibiwa Kwa risasi? Elimu zetu na zikoje mpaka watu wanashindwa kujibu Kwa hoja ? wanatumia usaidizi wa jeshi, usalama n.k
Upande wako Msomaji unataka nani asimame atetee uhai wa wenzetu wanaokamatwa na kuuwawa Kwa kutoa maoni yale yasiyopendwa na Serikali. Hawa watekaji wakimalizana na Wapinzani,Wanaharati, watahamia Kwa wananchi wasio na vyama na Wana CCM watauana wenyewe kwakuwa UPINZANI utakuwa miongoni mwao. Kwanini tuache nchi yetu,iwe chini ya utawala wa kiimla usio na Sheria?

Na wenzetu waliopewa majukumu ya kuuwa Kwaajiri ya kulinda maslahi na utawala wa Viongozi wao,Wanaelewa ukubwa wa laana na kisasi na adhabu ijayo ambatana na kumwaga damu isiyo na Hatia? Ni swala linalomgusa Mungu Moja Kwa Moja ( Mithali 6:16-19)

Wake-up Tanzanian,We are under siege!
woga , tu waoga
 
Tunasubiri nani atekwe ndio tuelewe hatuko salama Tanzania? Kwanini tumekuwa wanyama kiasi hiki? Kwanini hoja zinajibiwa Kwa risasi? Elimu zetu na zikoje mpaka watu wanashindwa kujibu Kwa hoja ? wanatumia usaidizi wa jeshi, usalama n.k
Upande wako Msomaji unataka nani asimame atetee uhai wa wenzetu wanaokamatwa na kuuwawa Kwa kutoa maoni yale yasiyopendwa na Serikali. Hawa watekaji wakimalizana na Wapinzani,Wanaharati, watahamia Kwa wananchi wasio na vyama na Wana CCM watauana wenyewe kwakuwa UPINZANI utakuwa miongoni mwao. Kwanini tuache nchi yetu,iwe chini ya utawala wa kiimla usio na Sheria?

Na wenzetu waliopewa majukumu ya kuuwa Kwaajiri ya kulinda maslahi na utawala wa Viongozi wao,Wanaelewa ukubwa wa laana na kisasi na adhabu inayo ambatana na kumwaga damu isiyo na Hatia? Ni swala linalomgusa Mungu Moja Kwa Moja ( Mithali 6:16-19)

Wake-up Tanzanian,We are under siege!
Ukimya huo ni ili maandiko yatimie..... Amen
 
Tunasubiri nani atekwe ndio tuelewe hatuko salama Tanzania? Kwanini tumekuwa wanyama kiasi hiki? Kwanini hoja zinajibiwa Kwa risasi? Elimu zetu na zikoje mpaka watu wanashindwa kujibu Kwa hoja ? wanatumia usaidizi wa jeshi, usalama n.k
Upande wako Msomaji unataka nani asimame atetee uhai wa wenzetu wanaokamatwa na kuuwawa Kwa kutoa maoni yale yasiyopendwa na Serikali. Hawa watekaji wakimalizana na Wapinzani,Wanaharati, watahamia Kwa wananchi wasio na vyama na Wana CCM watauana wenyewe kwakuwa UPINZANI utakuwa miongoni mwao. Kwanini tuache nchi yetu,iwe chini ya utawala wa kiimla usio na Sheria?

Na wenzetu waliopewa majukumu ya kuuwa Kwaajiri ya kulinda maslahi na utawala wa Viongozi wao,Wanaelewa ukubwa wa laana na kisasi na adhabu inayo ambatana na kumwaga damu isiyo na Hatia? Ni swala linalomgusa Mungu Moja Kwa Moja ( Mithali 6:16-19)

Wake-up Tanzanian,We are under siege!
kwa sababu watawala wengi wanamagonjwa ya akili
 
Bi mkubwa anasema ni drama yaani watu wanapotea ili wakacheze squid game😓😓😓

Ila kiukweli Hali ilipofikia siyo nzuri na inabidi kama watanzania tuchukue hatua za muhimu
Naruhusiwa kutembea na mguu wa kuu
 
Tunasubiri nani atekwe ndio tuelewe hatuko salama Tanzania? Kwanini tumekuwa wanyama kiasi hiki? Kwanini hoja zinajibiwa Kwa risasi? Elimu zetu na zikoje mpaka watu wanashindwa kujibu Kwa hoja ? wanatumia usaidizi wa jeshi, usalama n.k
Upande wako Msomaji unataka nani asimame atetee uhai wa wenzetu wanaokamatwa na kuuwawa Kwa kutoa maoni yale yasiyopendwa na Serikali. Hawa watekaji wakimalizana na Wapinzani,Wanaharati, watahamia Kwa wananchi wasio na vyama na Wana CCM watauana wenyewe kwakuwa UPINZANI utakuwa miongoni mwao. Kwanini tuache nchi yetu,iwe chini ya utawala wa kiimla usio na Sheria?

Na wenzetu waliopewa majukumu ya kuuwa Kwaajiri ya kulinda maslahi na utawala wa Viongozi wao,Wanaelewa ukubwa wa laana na kisasi na adhabu inayo ambatana na kumwaga damu isiyo na Hatia? Ni swala linalomgusa Mungu Moja Kwa Moja ( Mithali 6:16-19)

Wake-up Tanzanian,We are under siege!
Ukimya ni result of brain washing iliyofanywa na mifumo ya nchi ili wananchi wasi react kwa lolote ambalo litachafua au kusumbua mifumo iliyopo

Huu ukimya ni uogoa ulipitiliza, umezaa machawa, umezaa unafki, mpaka wasomi nao wameingia kwenye mkumbo huo huo.
But nafurah taratibu hilo jambo linaanza kuondoka taratibu
 
Tangu dunia iumbwe wenye madaraka wanalinda madaraka yao kwa hali yoyote tangu enzi za machief kuna watu waliuwawa kwasababu wanampiga chifu

Kwahiyo ukiamua kupambana na system hakikisha uko tayari kwa lolote usitegemee mambo yatakua malaini
 
Bi mkubwa anasema ni drama yaani watu wanapotea ili wakacheze squid game😓😓😓

Ila kiukweli Hali ilipofikia siyo nzuri na inabidi kama watanzania tuchukue hatua za muhimu
Kinachosikitisha ni viongozi wa nchi ku ignore hili suala, na kuitw ni drama?
Ni kama haliwahusu
 
Kinachosikitisha ni viongozi wa nchi ku ignore hili suala, na kuitw ni drama?
Ni kama haliwahusu
Na watanzania pia tunafeli.....ikitokea kesi kama hizi,wenye nchi watatafuta skendo yoyote waiweke kwenye trending
Na sisi kama bendera tunafuata upepo
 
Tunasubiri nani atekwe ndio tuelewe hatuko salama Tanzania? Kwanini tumekuwa wanyama kiasi hiki? Kwanini hoja zinajibiwa Kwa risasi? Elimu zetu na zikoje mpaka watu wanashindwa kujibu Kwa hoja ? wanatumia usaidizi wa jeshi, usalama n.k
Upande wako Msomaji unataka nani asimame atetee uhai wa wenzetu wanaokamatwa na kuuwawa Kwa kutoa maoni yale yasiyopendwa na Serikali. Hawa watekaji wakimalizana na Wapinzani,Wanaharati, watahamia Kwa wananchi wasio na vyama na Wana CCM watauana wenyewe kwakuwa UPINZANI utakuwa miongoni mwao. Kwanini tuache nchi yetu,iwe chini ya utawala wa kiimla usio na Sheria?

Na wenzetu waliopewa majukumu ya kuuwa Kwaajiri ya kulinda maslahi na utawala wa Viongozi wao,Wanaelewa ukubwa wa laana na kisasi na adhabu inayo ambatana na kumwaga damu isiyo na Hatia? Ni swala linalomgusa Mungu Moja Kwa Moja ( Mithali 6:16-19)

Wake-up Tanzanian,We are under siege!
Ni hatari Sana.
 
Back
Top Bottom