ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Tunawaza tulikosea wapi hadi wanyarwanda wamefanikiwa kuingia nchini mwetu.
Dogo kua uyaone mdogo angu ile sio kusinzia anawaza kesho akitoka ataacha nini mezani[emoji2][emoji2]Shikamooni kwanza,me naomba kuwauliza baba zangu Kwanini mnalala lala kama nyau.yaani tukikaa na baba yangu sehemu tukitulia dakika nne nyingi ataanza kusinzia.sasa Ni mawazo gani huwa yanawachosha Sana kiasi hicho
We bwanamdogo na sisi wakati fulani tulikuwa kama wewe,.kua tu utayaona!Shikamooni kwanza,me naomba kuwauliza baba zangu Kwanini mnalala lala kama nyau.yaani tukikaa na baba yangu sehemu tukitulia dakika nne nyingi ataanza kusinzia.sasa Ni mawazo gani huwa yanawachosha Sana kiasi hicho
Shikamooni kwanza,me naomba kuwauliza baba zangu Kwanini mnalala lala kama nyau.yaani tukikaa na baba yangu sehemu tukitulia dakika nne nyingi ataanza kusinzia.sasa Ni mawazo gani huwa yanawachosha Sana kiasi hicho
Siku moja we mvizie kwenye dirisha la chumba chake halafu umle chabo ndo utajua anasinzia kwa sababu gani.Shikamooni kwanza,me naomba kuwauliza baba zangu Kwanini mnalala lala kama nyau.yaani tukikaa na baba yangu sehemu tukitulia dakika nne nyingi ataanza kusinzia.sasa Ni mawazo gani huwa yanawachosha Sana kiasi hicho
Wewe ni mtoto?Shikamooni kwanza,me naomba kuwauliza baba zangu Kwanini mnalala lala kama nyau.yaani tukikaa na baba yangu sehemu tukitulia dakika nne nyingi ataanza kusinzia.sasa Ni mawazo gani huwa yanawachosha Sana kiasi hicho
Hii hatua ngumu sana,yani unakuta watu zaidi ya watano wanakutegemea na kukutizama wewe. Kama huna kitu mfukoni,unaweza ukajikuta unaongea mwenyewe barabaraniDogo kua uyaone mdogo angu ile sio kusinzia anawaza kesho akitoka ataacha nini mezani[emoji2][emoji2]