Kwanini Watu wema wanateseka?

Hiyo tafsiri ya wema ni according to nani?

Unachoita wema ni shida Kwa mwingine so kama anaweza kukusulibu lazima akupelekee moto.
 
Huyo mungu ana roho mbaya na roho ya kichawi yaani babu zangu watende maovu kwa wakati yao eti laana yao ije inipate mimi na mungu anipe laana na adhabu mpaka vizazi vyangu vya nne, hakika huyo mungu ni zaidi ya mchawi.
 
Labda mawazo ya Mungu si kama ya Mwanadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…