mhemeavisogo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2014
- 343
- 195
Upo sahihi.mimi nikiwa chooni mpenz wangu huja kunitazama na ndivyo alivyozoea hata kujamba hujamba na mimi hujamba tena sometime ananiambia baby jifunike shuka mara unasikia kijambo... hahaha so funnyUkishindwa kujamba mbele ya mpenzi wako basi we mnafiki... Ushuzi kitu gani.Watu wanakata gogo huku wameacha mlango wazi...khaaa
siku ukimsindikiza mkeo sarunii hakikisha unajamba mle ndani sawaaa