Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa napenda kujisikiliza baada ya kutuma, pia huwa nina prove kma voice nliyo tuma imemfikia vzri mlengwaUnajua sielewi kabisa 🤣🤣, Huwa wanataka sikia sauti zao zinavyovutia au kuhakiki tu? Najau wengi mshafanya hivi ebu nambieni sababu inayokufanya kusikiliza sauti yako tena ni nini?
Jinsia yako tafadhaliUnajua sielewi kabisa 🤣🤣, Huwa wanataka sikia sauti zao zinavyovutia au kuhakiki tu? Najau wengi mshafanya hivi ebu nambieni sababu inayokufanya kusikiliza sauti yako tena ni nini?
ni kama tu kusoma kile ulichoandika kuona kama kipo sawa au ufanye some editingUnajua sielewi kabisa 🤣🤣, Huwa wanataka sikia sauti zao zinavyovutia au kuhakiki tu? Najau wengi mshafanya hivi ebu nambieni sababu inayokufanya kusikiliza sauti yako tena ni nini?
Kuna app ipo cyo tu voice note hata txt ya kawaida ….. ukirudia kusikiliza au kusoma mara yapili inaniletea tarifaHivi kwani ninayemtumia hua anajua kama nimeirudia kuskiza??🤔
Baaaasi🥲😂😂😂Kuna app ipo cyo tu voice note hata txt ya kawaida ….. ukirudia kusikiliza au kusoma mara yapili inaniletea tarifa
SanaKukosa kazi napo ni kazi
Ni kazi ngumu sana isiyokua na malipo.😂 😂 😂
Kukosa kazi ni kazi ngumu sana