Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Cc RRONDOYapo magari mengi yanayouzwa ilakwa siku za karibuni nimeona watu wengi wakiuza Toyota Altezza kwa bei nafuu tena yakiwa ya hivi karibuni.
Nini tatizo la hili toleo?View attachment 1391342
Gari ya miaka 20 iliopita unategemea iuzwe bei gani? Ni sawa na gx100Yapo magari mengi yanayouzwa ilakwa siku za karibuni nimeona watu wengi wakiuza Toyota Altezza kwa bei nafuu tena yakiwa ya hivi karibuni.
Nini tatizo la hili toleo?View attachment 1391342
Ntsftie ya ml 3 mkuuAlteza, Brevis, Mark X, Gx 100, Subar Forester Vyuma kukaza ndio chanzo cha kuuzwa kama njugu kutokana na wamiliki kushindwa kuhimili matumizi yake ya mafuta. Yaaani mpaka Mil 3 unapata gari hapo saaaaafi.
Ipo GX 100 Kinyerezi namba BXL ... M 3.2 imenyoooka vibaya. Kama uko siriaz sema
Hii hoja naiunga mkono. Uchumi umebana maisha ya show off za magari kwa baadhi ya watu yanawashinda...Alteza, Brevis, Mark X, Gx 100, Subar Forester Vyuma kukaza ndio chanzo cha kuuzwa kama njugu kutokana na wamiliki kushindwa kuhimili matumizi yake ya mafuta. Yaaani mpaka Mil 3 unapata gari hapo saaaaafi.
Hapo Kwenye Passo hapana aisee maana hiyo gari nayo kwajinsi ilivyokuwa kimeo ni Bora ungeniambia IST na vitzHii hoja naiunga mkono...
Uchumi umebana maisha ya show off za magari kwa baadhi ya watu yanawashinda...
Sasa hivi Passo ya pistons 3 inapewa heshima mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi
Hapo Kwenye Passo hapana aisee maana hiyo gari nayo kwajinsi ilivyokuwa kimeo ni Bora ungeniambia IST na vitz
Hapo Kwenye Passo hapana aisee maana hiyo gari nayo kwajinsi ilivyokuwa kimeo ni Bora ungeniambia IST na vitz
Vp mzee mzia uhakika wa vipuri na wese upo.
Alteza, Brevis, Mark X, Gx 100, Subar Forester Vyuma kukaza ndio chanzo cha kuuzwa kama njugu kutokana na wamiliki kushindwa kuhimili matumizi yake ya mafuta. Yaaani mpaka Mil 3 unapata gari hapo saaaaafi.
Uchagani ukienda na Passo na mwenzio akaja na Toyota Stout..mwenye stout ndio atapewa mke, usijiulize sana kwanini ila zingatia🤣🤣🤣