Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rooney na hamilton nao wameona waoteshe mywele feki pale.Ni wachache sana ambao hukubaliana na hali zao!!,wengi huishi kwa nyoa mara kwa mara nyelwe zinazochipuka kwa pembeni,,nashauri wapewe Bima za kunyolewa
kwa umakini huu naamini ulikuwa wakala wa uchaguziNyelwe?
Ni wachache sana ambao hukubaliana na hali zao!!,wengi huishi kwa nyoa mara kwa mara nyelwe zinazochipuka kwa pembeni,,nashauri wapewe Bima za kunyolewa
Hivi nyelwe ni kitu gani hasa mkuu?Kwa sababu nahisi rahisi kunyoa nyelwe zikiwa ndogo nafirkiri. Tatizo nini kwako bro?
Wananyoa kwa sababu wana viparaNi wachache sana ambao hukubaliana na hali zao!!,wengi huishi kwa nyoa mara kwa mara nyelwe zinazochipuka kwa pembeni,,nashauri wapewe Bima za kunyolewa
Ahahaaahaah ngozi[emoji3] [emoji3]Sasa kma wana vipara, wananyoa nini sasa..??? Ushasema wana vipara, au wananyoa ngozi..??[emoji1] [emoji1]
Yaaan huu uzi wako unafanana na swali hili ikiwa kipara 1 kinanyolewa kwa dakika 3 je vipara 5 vitanyolewa kwa dakika ngapi?Ni wachache sana ambao hukubaliana na hali zao!!,wengi huishi kwa nyoa mara kwa mara nyelwe zinazochipuka kwa pembeni,,nashauri wapewe Bima za kunyolewa