Kwanini watu wengine wakiumwa na nyuki au nyigu hawavimbi?

Kwanini watu wengine wakiumwa na nyuki au nyigu hawavimbi?

Trainee

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
2,660
Reaction score
3,501
Wengine wakiumwa na wadudu hao mwili unaumuka sana haijalishi ni sehemu gani ya mwili

Wengine wanaumuka ikiwa sehemu iliyoshambuliwa ni usoni pekee

Wengine wanaumuka ikiwa wadudu waliomshambulia na kumdunga ni wengi

Wengine wanavimba kiasi tu unakuta kidutu kidogo kama kipele

Wengine hawavimbi kabisa kabisa hata akigongwa vipi na wadudu hao

Naomba majibu ya kisayansi ni kwanini kunakuwa na tofauti hizo?

Pia nyongeza ya hapo nahitaji kujua je kuna namna ya mtu kufanya mara baada ya kushambuliwa na wadudu hao ili aepuke hali hizo za kuumuka?
 
Wengine wakiumwa na wadudu hao mwili unaumuka sana haijalishi ni sehemu gani ya mwili

Wengine wanaumuka ikiwa sehemu iliyoshambuliwa ni usoni pekee

Wengine wanaumuka ikiwa wadudu waliomshambulia na kumdunga ni wengi

Wengine wanavimba kiasi tu unakuta kidutu kidogo kama kipele

Wengine hawavimbi kabisa kabisa hata akigongwa vipi na wadudu hao

Naomba majibu ya kisayansi ni kwanini kunakuwa na tofauti hizo?

Pia nyongeza ya hapo nahitaji kujua je kuna namna ya mtu kufanya mara baada ya kushambuliwa na wadudu hao ili aepuke hali hizo za kuumuka?
Ndo maana binadamu kuna wenye vishudu na wengine flat screen
 
Hizo ni reaction za mwili vs new thing mwilini...so inategemea na ntu na ntu kwenye hizo reaction.
 
Majibu yenu sasa... Nabaki kucheka tu

Mlioniambia ni kinga za mwili kama nimewaelewa kwa mbali hivi lakini hebu mngechambua kidogo. Kumbuka hawa wanaovimba tunawaona wakivimba kila wanaposhambuliwa huku wale wasiovimba nao ikiwa ni hivyo hivyo maisha yao yote hawavimbi. Ina maana kuna watu wana kinga za mwili madhubuti daima dumu huku wengine wakiwa dhaufu al hali daima dumu? Hii concept naona kama inakinzana na kile wanachotuambiaga madokta (kwamba kinga za mwili zinapanda na kushuka).
 
Back
Top Bottom