Mzee wa makamo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2024
- 200
- 444
Kwa utafiti wangu ndogo nimeona hii kitu ya kuzaa watoto wengi na umaskini(kipato kidogo) sijui ina uhusiano gani na kipato.
Naombeni msaada kwa anaye jua
Naombeni msaada kwa anaye jua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa research yangu ndogo nimeona hii kitu ya kuzaa watoto wengina umaskini(kipatokidogo)sijui inahusiano gani na kipato naombeni msaada kwa anaye jua
wana falsafa moja kwamba mtoto akizaliwa automatically mambo yanakaa sawakwa research yangu ndogo nimeona hii kitu ya kuzaa watoto wengina umaskini(kipatokidogo)sijui inahusiano gani na kipato naombeni msaada kwa anaye jua
utasikia kila mtoto anakuja na baraka zakewana falsafa moja kwamba mtoto akizaliwa automatically mambo yanakaa sawa
Research Yako iliwatambuaje maskini, vigezo?kwa research yangu ndogo nimeona hii kitu ya kuzaa watoto wengina umaskini(kipatokidogo)sijui inahusiano gani na kipato naombeni msaada kwa anaye jua
kipato mkuuResearch Yako iliwatambuaje maskini, vigezo?
Burudani ya masikini imelala junctionkwa research yangu ndogo nimeona hii kitu ya kuzaa watoto wengina umaskini(kipatokidogo)sijui inahusiano gani na kipato naombeni msaada kwa anaye jua
Cut off point ilikuwa kiasi gani kwa kipato kwa. Kichwa?kipato mkuu
kwa research yangu ndogo nimeona hii kitu ya kuzaa watoto wengina umaskini(kipatokidogo)sijui inahusiano gani na kipato naombeni msaada kwa anaye jua
Ndugu zangu wakisikia nina watoto wawili na mmoja wa kule wananicheka! Siku moja nikawatolea uvivu tukafanya mahesabu ya social return on investment, wakakuta SROI ratio ya watoto wangu iko juu sana kuliko wa kwao! Kwa hiyo sasa wanatuzalia ili tuwasaidie kulea! Ukikataa tu utasikia, ooooh huyo anaendeshwa na mke wake! Ubinadamu kazi!