Dr
Fadhili Paulo nimeisoma taarifa yako yote lakini unadai kwamba Virusi hawasababishi UKIMWI lakini, lakini katika tiba yako kuna hichi kitu kuhusiana na nazi umeongelea tena mambo ya virusi sema nimeshindwa ku quote sababu sijui umefanyaje inakuwa ni vigumu ku copy ila ningeweza kuweka hapa, kuhusiana na hayo maelezo umeniacha kabisa...