matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
-
- #21
Umbea noma sana. Ila kwenye ofisi ambazo majungu ni SOP ya taasisi mtu anayempa Boss umbea anaadvantage sana ila husababisha maumivu makali sana kwa wenzake na familia zaoSema hapo kwenye umbea ndipo pana shida
umeandika points.Usilazimishe mtu awe na personality isiyo natural kwake
Kila mtu awe na personality yake,comfort yake ni next to none!
Wote wanafanikiwa labda muda tu
Trust me,watu wenye viherehere hawajafanikiwa kama unavyodai,wao wanajua kujionyesha kupita uwezo wao,ndio maana unaona kama wamefanikiwa sana
Halafu trust me,watu wenye viherehere na kujionesha sana huwa hawapendwi generally,michongo mingi hawapati wao kama tunavyodhani!
mtu anayejiamini asilimia mia hata kama yuko chaka hata mbinguni rahisi kwenda kuliko watu vuguvugu na fuata upepo.Kuna mda anakera mpaka anaanza kufurahisha.
Ila somo kubwa nililojifunza kwa huyu jamaa ni kuamini katika kila unalolifanya hata kama halina mantiki kwa watu wengine 😅
Hyo ya kukera had anaanza kufrahisha kweli kabisa, nishaexperience kwake 😆Kuna mda anakera mpaka anaanza kufurahisha.
Ila somo kubwa nililojifunza kwa huyu jamaa ni kuamini katika kila unalolifanya hata kama halina mantiki kwa watu wengine 😅
that's it, kwenye maisha muda mwingine si lazima ufanye vitu ili watu wafurahi, you have to stay on your lane, wakati mwingine hatufanikiwi kutokana na kuangalia sana watu wanafikiri nini kuhusu sisi.Hyo ya kukera had anaanza kufrahisha kweli kabisa, nishaexperience kwake 😆
Kuna kipindi sjui alifanya nini watu kibao wakamkataa nikajua atajiuzulu huyu anytime soon hahahaa jamaa likaendelea kukomaa had leo watu wanamchkulia tu poa.
Sema kwenye kujiamin namkubali sana, big up kwake
Naunga mkono hoja asilimia zote mkuu. 🤝🏻mtu anayejiamini asilimia mia hata kama yuko chaka hata mbinguni rahisi kwenda kuliko watu vuguvugu na fuata upepo.
Watu hawa ni vigumu sana kutoboa.
Kweli kabisathat's it, kwenye maisha muda mwingine si lazima ufanye vitu ili watu wafurahi, you have to stay on your lane, wakati mwingine hatufanikiwi kutokana na kuangalia sana watu wanafikiri nini kuhusu sisi.
umeandika points.
Ila ukiwa na akili au uwezo mkubwa lakini hunauwezo wa kuudemonstrate kwa watu wenye maamuzi, mwenye kujiongeza ambaye anajua nusu ya unachokijua lazima awe juu yako.
Utapeli ndio unaouongelea hapa. Sadaka inakusanywa kwenye mabasi? Pengine wanafanikiwa kutokana na uelewa mdogo wa umma wa WaTz.Wakuu nimefanya utafii uchwara nimegundua
Watu wenye viherehere, wanaojiongeza nje ya majukumu yao, wanaoongea kwa ujasiri na kujiamini mambo ambayo hawayafahamu vizuri ni rahisi kufanikiwa.
Nimeona watu wa namba hii katika mazingira tofauti zaidi ya watu kumi.
USHAURI NINI UFANYE.
1:Usiwe na aibu za kijinga, jiongeze kuwa mwepesi wa kupata habari na taarifa sahihi zieleze kwa watu wenye ushawishi, Wenye vyeo, wenye pesa kwa ujasiri mkuu kana kwamba wewe ulikuwepo.
2: Usiwaamrishe wape kama mapendekezo nini kifanyike. Wakipata majanga na matatizo kuwa wa kwanza kuwapa pole, Shiriki katika mazishi, kuchimba makaburi, kubeba majeneza.
3: Kama unauweza pendeza sana unapokutana na watu wenye ushawishi. au unapotaka kufanikiwa katikati ya watu wa kawaida ili uaminike. Siku zote napanda mabus jamaa wanakusanya sadaka wa (wahubiri kwenye mabasi), Ila Juzi kapanda jamaa mmoja mchaga kapiga suti kali, kaongea kwa kujiamini sana kana kwamba hana shida, alipokusanya sadaka alikomba za kutosha basi zima.
4: Uwe makini katika kiherehere na kujiongeza usichongee watu au kuwasema vibaya sana maana unaweza kweli kufanikiwa lakn kwa Mta mfupi utafeli.
5: Ufurahie watu. Yaani ukikutana na mtu mfurahie mchangamkie kana kwamba mnamiaka mingi mnafahamiana japo hamjuani. Utakokota maelfu.
6: Ongea maneno yatamkike na kusikika kila herufi. Pia Ongea kwa mtazamo wa kutoa suluhisho hata kama ni la uongo.
7: Kuna watu wanaakili za kizamani eti kama ni Muhasibu basi hataki kujua kinachoendelea engineering, sheria, etc. utakufa Muhasibu. Ila sifa ya kiongozi ni kujua mambo hata kwa kupapasa kutoka katika almost kila tasnia. Mtu anayejiongeza nje ya eneo lake huaminiwa mapema kuwa kiongozi mahali popote.
hizi mbinu na za ziada ukijaribu huwezi kulala njaa...
ongeza na zako
mkuu yeye anadai anatakiwa kulishwa na wanaomsikiliza ili aje siku nyingine wamsikilize tena na anavifungu vya kujilinda.Utapeli ndio unaouongelea hapa. Sadaka inakusanywa kwenye mabasi? Pengine wanafanikiwa kutokana na uelewa mdogo wa umma wa WaTz.
Sent using Jamii Forums mobile app
kuwa mkweli mkuu. ukiforce kudanganya wakati nafsi ni aminifu utashikwa kila unapodanganya.
Viongozi wetu kukosa hekima na busara za kuongoza ni jambo la hatari sana.Mfano mzuri ni DAB, anaongea upupu hadi unashindwa kumshangaa, sometimes akiongea uliyekaa kando ya TV unaona aibu but look where he is now, RC wa jimbo kubwa kuliko yote Yunani[emoji39]
MKUU UMEANDIKA MAMBO YA MSINGI AMBAYO NI PRACTICAL KWENYE CIVILIZED COUNTRIES, ORGANIZATIONS AND INSTITUTIONS.Kinachotakiwa ni kazi/body of work...kazi yako ndio itakuuza
Easy come easy go in a long run mzee!
Overselling ni counter productive kwa long run mkuu!
Watakustukia tu na fakeries zake!
Over-self promotion nowadays inajulikana,watu watauliza “is this nigga worth the hype?”
Watakupa nafasi ila not long enough watajua where you are gauging at!
Viherehere wanafaulu sawa na quiet niggas,if you ask me!
Mkuu watu wa hivi huwa hawana aibu, yaani wao kuaibika ni sehemu ya maisha yao.
hahahahaKuna kajamaa kadalali kanachomekea saaana alafu kana kiherehere mpaka mwisho.
Yani kanaingia ofisini za watu utadhani kanafanya kazi humo.
Alafu akikusalimia hata kama akujui lazma akuulize"za siku,familia,wote wazima huko"
Alishawai kunuomba mkurugenzi flani wa jiji akale nae lanchi siku moja na kweli akaalikwa lanch.yani mambo yoote ya serikali kenyewe kanajua bwana.alafu kako fasta sana.kana macho miamia yani pande zote kanatazama apitwi na kitu huyo master
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawanaga aibu hao