Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
Hao sijawafatiliaAyuuu shua?
Umewafatilia masaidia fundi wewe
πππππNa moyo unakuwa salama,?Kwaifupi inaondoa uchovu na kuondoa wenge lausingizi.
Zingatia neno wenge
Inaonekana ulibemendwa ukiwa mtoto sasa hili nalo la kuuliza kweli !Kwanini watumiaji wengi wa kinywaji cha Energy ni madereva wa vyombo vya moto?
Unazeeka vibaya ujue πΉπΉπΉπΉπΉ kidudu kisiwhaaat!!!?!!π€£π€£π€£π€£π€£Kutoka Dar kwenda Mwanza abiria unasinzia na kulala mara ngapi njiani? Jiweke kwenye nafasi ya dereva.
Energy drink inakata usingizi na inapunguza sana uchovu ndio sababu kitaalamu wanashauri usinywe zaidi ya kopo mbili kwa siku.
Kuli wanatumia sana energy na wamwaga zege. Tuliozeeka tunatumia mara moja moja hasa tunapojiandaa kwa kupiga ukuni ili walau kidudu kisilale harakaharaka
πππUnazeeka vibaya ujue πΉπΉπΉπΉπΉ kidudu kisiwhaaat!!!?!!π€£π€£π€£π€£π€£
Yeah kwa usalama zaidi
Iwe hivyo uwazavyo hata naomba jibu.Inaonekana ulibemendwa ukiwa mtoto sasa hili nalo la kuuliza kweli !