Kwanini watumishi wa Umma wawe na Masters na PhD?

Ni Nyerere ndiye aliwabatiza wazungu hasa wa magharibi jina hilo na so Prof Kabudi. Muombe radhi maana umemsingizia.
 
tatizo la kusema ukweli hapa nchini
hapondio shida nilipo hii nchi si wasomi tu viongozi wa uongo ni wanasiasa wakawaambukiza watendaji (wasomi) na sasa mtaani hadi kwenye mafamilia tunaishi kwa uongouongo ni hatari sanaaa.
 
Kuna PhD mwingine huku jana kawadanganya Wananchi Wanyonge eti Tanzania itakua Nchi ya kwanza Afrika kuendesha Treni ya Umeme!!
Hahaha mwalimu upo??? Ivi siku ukipata kibarua sema fedha sec. Wakakupa nyumba/ allowance, transport na mshahara mnono. Usiende ati hutakuwa mzalendo?
Uzalendo wa kununua maghorofa kwa ml 6 hull dodoma na kagawa nyumba za umma kwa kina kajala wa kebys?
 
Well said mkuu..
 
[emoji23] [emoji23] Jiwe limekuangukia utosini nini?

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
China imeendelea nje ya mfumo wa PhD, hawajawahi kuwa na Rais Dr. au Profesa.
 
China imeendelea nje ya mfumo wa PhD, hawajawahi kuwa na Rais Dr. au Profesa.
Kwa taarifa yako uchina ina formal education ya kutosha ndio maana viwanda vya mass production ya technological apparatuses vinasimikwa uchina kwa sababu population ya wenye akili kufanya kama cheap labour ipo. Sasa huwezi kufananisha uwezo wa an ordinary Chinese na hawa ngumbalu wetu wanaoshinda kuongea ngono tu kwenye social media. Taasisi imara iwe ya umma au private inahitaji wasomi wazuri ktk ngazi zote kuanzia seniority positions hadi zile za chini...

Tusipotoshe ukweli nje ya formal education mtu hawezi kuwa na uwezo ila utundu, kwa hiyo hatuhitaji watundu bali tunahitaji wasomi wenye ubunifu na uzalendo.

Elimu ni muhimu saaanaaa
 
K
Ni kweli usemayo. Nina mashaka ama na mfumo wa elimu au njaa inatafuna akili za wasomi wa nchi hii!!

Mbaya zaidi, jiwe anatumia wasomi kuharibu mambo ya nchi hii!! Wasomi wamekuwa wasaliti!

Niliwahi kuandika uzi fulani hivi kuwa Tanzania haiwezi kukombolewa na wasomi kutoka katika siasa chafu!!
 
Formal na informal ni ipi na ipi, viwango vyake vya kimataifa ni vipi? Nani amekupotosha? Nimesema China INA mfumo wake wa elimu, kubali kataa itabaki kuwa hivyo, ukija na cheti chako toka China utapata jibu.
Elimu yetu si formal uingereza lakini kwetu ni formal, huo ndiyo mpangilio wa nchi husika.
 
Hoja ya msingi hapa ni ikiwa upo umuhimu wa wasomi kwenye public sector huko kwenye elimu umeamua tu kwenda mwenyewe. Msimamo wangu kulingana na mada ni kwamba tunawahitaji mnoo wasomi kwenye sekta ya umma hata binafsi ikiwa nia ya kuendelea tunayo
 

Hebu karibu hapa: ***** Open Discussion Forums Integrated Software and Technologies for Teaching and Research na wewe utoe mchango wako katika sekta ya elimu. Kwa nini unasubiri watu wenye PhD?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…