Kwanini watumishi wengi wa 'idara nyeti' ni matapeli na hupenda kujifunua utambulisho wao kwa wauza bia bar

Umewaza kama mimi mkuu. Hasa pale aliposema hata kurusha ngumi huyo jamaa ilikuwa shida niliwaza mengi sana.
 
Huyu jamaa kuna mengi hayajui hapa duniani.
 
Naungana na wewe huyu jamaa hakuna anachokijua katika mambo ya usalama na majeshi kwa ujumla.
 
Hawa jamaa wanavyopatikana sasa hivi ni kwa njia za panya. Halafu tamaa ndiyo inaponza vijana wengi wa Bongo. Hawa hata walipwe fedha ndefu namna gani sidhani kama wanaweza kuhimili kama nchi ya kigeni ikiwamwagia fedha. BTW mke wako ndiye alitakiwa a-react. Kama alikuja kwenye meza pale ilibidi awe mkali na kumfokea kwa sauti kila mtu asikie ili aone aibu. Hali kama hii huwa inatokea kwa wengi lakini nadhani ili kuuumbua wajinga kama huyo jamaa ni vizuri mwanamke awe wa kwanza kumfukuza kama mbwa. Hii itasaidia kwani mwanaume ukishakasirika unaweza kufanya kitu kibaya sana.
 
Wewe nawe ni fyongo tu. Unaishi nchi gani unataka kuja kudanganya hapa. Unadhani hatuwajui? Au na wewe uko huko na umekuja hapa kutetea ujinga wenu.
 
Nyoo. Ona ulivyo na ushamba. Sisi tunahonga kijana. Ukicheza na mimi na wewe nitakuhonga vilevile nikuoe. Mshamba wa mwisho

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ondoa upumbavu wako. Njaa inawasumbua ninyi wajinga. Huna lolote na ndiyo maana unajifanya kutumia ID ya kike kumbe wewe ni dume linaloishi kwa kulamba vidonda kama inzi. Shut up!
 
So what?
 
Vipi bwashee? Hebu kunywa maji kwanza masna unaweweseks hatari na sukari imeshuka umejaa jazba wakati ni fala fulani tu.
Kwenda zako wewe. Unaona unapokujaga na vi-story vyako vya alinacha hapa wajinga wenzako wanakusifia na unadhani wetu tuko level yako? Alichaandika mwanzisha thread kiko wazi na ni ukweli. Hlafu wewe unaleta upumbavu wa kubisha mambo ya wazi.
 
Kwenda zako wewe. Unaona unapokujaga na vi-story vyako vya alinacha hapa wajinga wenzako wanakusifia na unadhani wetu tuko level yako? Alichaandika mwanzisha thread kiko wazi na ni ukweli. Hlafu wewe unaleta upumbavu wa kubisha mambo ya wazi.
Uandishi wa Instagram huu, huku umepotea njia.

Nenda Michambo city ukachambane na mashoga wenzako.

Alamsiki.
 
Broo hao wengi washamba sana hawajiamini na hawana maadili kabisa. Kuna demu mmoja nikimnasa kiulani akajitambulisha na mpka kwao akanipeleka yaani kirahisirahisi ila njaa nyingi
 
Alafu wanakuaga na sifa zakijinga hasa wakituona sisi wateja wapya kwanza wanataka sisi tuwajue wao ni kina nani wakiona mteja mpya umejaza meza wanaanza kukodoa macho wanakuja kuuliza nyie ni kinanani ***** sisi tumeshuka toka mbinguni
Hahahahahaaaaaaa wameshuka toka mbinguniii๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Kuna mmoja ilikuwa manusura nimpige risasi ya kichwa ni huruma tu iliniingia, ni washenzi sana hawa vijana wa diwani. Huwa najiuliza hii mishahara wanayoipata haiwatoshi ama ni tamaa zao wenyewe?
Ungekuwa upo condem mida hii[emoji3]
 
Hao hata uwalipe mamilioni kila mwezi hawatalidhika hata kidogo,
Hizo ndio tabia zao,ajira wamepata kwa kubebwa,kichwani ni zero,ajira kama hizo ilibidi wapewe vijana wenye akili zao na Elimu iliyokaa vzr,sio Hawa waliokuwa wavuta bangi shuleni wanabebwa na baba zao,
Hii Idara ilibidi ifumuliwe yote iundwe mpya kabisa na ajira zake zisifsnywe kwa uendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ