Kwanini watumishi wengi wa 'idara nyeti' ni matapeli na hupenda kujifunua utambulisho wao kwa wauza bia bar

Hivi kwa nini huwa mnadhani umaskini ni sifa?

Hii lugha ya kijinga "wanyonge na maskini" alikuwa akiipenda sana yule mwehu kuitumia.

Kama ccm ni chama cha wanyonge na maskini basi hamuwezi kuondowa umaskini kwa sababu ndio sera yenu na mtaji wenu.
Mkuu wangu kwani CHANGAMOTO ya maadui wakuu 3 imeshaondoka?!!!

Sina maana UMASKINI ni sifa mkuu....ila Taifa chini ya CCM limepiga hatua nyingi mbele.....
 
Mkuu wangu kwani CHANGAMOTO ya maadui wakuu 3 imeshaondoka?!!!

Sina maana UMASKINI ni sifa mkuu....ila Taifa chini ya CCM limepiga hatua nyingi mbele.....
Maana huwa sielewi hata ukimsikiliza yule chizi yeye alikuwa akijininasibu kwamba yuko kwa ajili ya wanyonge na maskini.

Sasa muelewe tupo ambao hatuna utajili wowote lakini si wanyonge wala maskini, maishani mwangu sitaki huo mkosi wa kuitwa mnyonge au maskini.
 
Dah[emoji24][emoji24] jamani. How can people be this cruel... wanajisikiaje? Wanajionaje? Hii laana jamani itakuaje? Ugumu wa maisha umeleta shida sana. Maisha ni magumu jamani mpl roho inauma. Juzi tunaenda hospitali tukakutana na jamaa amecholaaa, amebeba mito yake anatembeza amekaa kwenye kiti amelala fofofo machozi yasianze nitoka[emoji23][emoji23] mama ananiuliza shida nn nikamwambia maisha magumu sana. Sikua na hela.mfukoni haki ya Mungu ningempa. Niliumiaaaa. Ndo maana sipendi enda mitaani... hivi hozi kodi zinaenda wapi jamani[emoji24] roho inaumaaa. Ndo maana mambo ya kishenz yanazidi

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Sitaji vema lakini mmoja alinipasia mradi Kwa ahadi ya 10% akaniingiza Kwa Waziri. husika lakini nikautema mradi . Cha kushangaza ni watu halisi wa utumishi nyeti,
Tajiri Kwanini uliachana na mradi husika? Ama 10% ilikuwa inaondoka na faida?
 
Ndo dunia mkuu wangu....

Pole sana kwa "sympathy & empathic understanding"

Shukuru Mungu bi mkubwa wako alihurstle na kuwa na "vilemba" k'koo kufikia nafuu ya maisha....

I dedicate to you the song "heaven or hell" by Meek Mill and Jada Kiss".....lisikilize chupa hilo na scripts zake...hatareee.....

Alamsiki binnour🙏
 
Wakiboreshewa maslahi ndo wataacha kitongoza mke wako? Kwa hiyo wanamtongoza mke wako kwa sababu ya maslahi yao duni? Mke wako ni barmaid pia? Manake umesema wanapenda kuongea na kudisclose siri kwa mabamaids.
Hahaha
 
Majungu tu yasiyo na chembe ya ukweli, kwa hiyo watumishi hao wote walikuja kwako? Wewe Nani just a mere ordinary person....!
 
Asante mkuu... Mungu ni mwema sana. Mungu awashindie changamoto zao. Zaidi awape Afya njema na shibe kwa familia zao. Haya ndo muhimu zaidi.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Hao Teeth wanaishi kwa ujanja ujanja tu ,kwahiyo wanaonyesha identity zao ili wapate favor tu hawana lolote ,kuna jamaa mtaani kote anajifanya anafanya kazi idara nyeti lakini hata GX90 hana mwaka wa 20 huu,hana nyumba ya maana zaidi ya kupanga tofali kwenye skwata.

Kwakifupi kwenye makampuni,mashirika,taasisi wanaofaidika ni only wale top layers tu ila wengine hawa wa chini(majority) wanaishi kiujanja ujanja tu.

Kwahiyo teeth hao wachini wanaishi kwa "unajua mimi ni nani"?
 
Hao Wametimuliwa Muda Mrefu
 
Hata waliomo humo bado ni matapeli kwelikweli yaani halafu ni washamba hasa wakiona mwanamke mweupe, kuna mmoja huo nimemkamatia gari yake hadi atakapo rejesha pesa. Uongo mbaya wanatia aibu sana hawa vijana wa Diwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…