Bro pambana na njaa zako wivu hautakusaidia, we ukutane na vishoka useme wa nyeti sijui kaunda.kwanzaa umejuaje vitambulisho ulivyoonyeshwa ndo vya wenyewe...mi nasikia ni vya siri sa we umeajuaje vikoje vina alama ya Kunguru au?😂😂😂Pole kwa lindo mzee…
Hahha! Wewe mtoto mdogo sana chura huwenda nikawa hata kiongozi wako 😅😅😅 chapa lindo mzee baba una safari ndefu sana, bado kinda mno.Bro pambana na njaa zako wivu hautakusaidia, we ukutane na vishoka useme wa nyeti sijui kaunda.kwanzaa umejuaje vitambulisho ulivyoonyeshwa ndo vya wenyewe...mi nasikia ni vya siri sa we umeajuaje vikoje vina alama ya Kunguru au?😂😂😂
Mkuu mbn sababu ni dhaifu sana kutaka kuua?Jana Ulirudi Usiku
Huyu alinikuta niko na mke wangu tumekaa mahali akaleta zile za kukonyeza nikamtuma mtu ampe onyo, nilivyoenda enda washroom nikakuta amekuja kwenye meza yangu kumtongoza mke wangu nilimzaba kofi moja zito sana akarise pale ilikuwa nimmalize siku ile sema tu watu waliingilia pale nikaamua kuondoka kwa amani.
Tajiri, huyu bwana kumbuka alikuwa na wenzake na kuna mmoja alienda mbali akachomoa bastola ila baadae na mimi nilivyotoa yangu ikabidi tumalize hili suala kiungwana tangia hapo walinipa heshima na huwa nakutana nao mara nyingi katika majukumu yetu ya hapa na pale.Mkuu mbn sababu ni dhaifu sana kutaka kuua?
Human wants are unlimited in numbers.
".....majukumu yetu ya hapa na pale".Tajiri, huyu bwana kumbuka alikuwa na wenzake na kuna mmoja alienda mbali akachomoa bastola ila baadae na mimi nilivyotoa yangu ikabidi tumalize hili suala kiungwana tangia hapo walinipa heshima na huwa nakutana nao mara nyingi katika majukumu yetu ya hapa na pale.
Nilimaanisha majukumu ya hapa na pale ambapo tunaweza kunywa bia pamoja na kupata supu pamoja, kunbuka kula pia ni mmoja ya majukumu kuuweka mwili sawa .".....majukumu yetu ya hapa na pale".
Nyboma banaaa ha ha ha 🤣🤣🤣
Endeleeni na majukumu yenu.....🤣
Endelea kuuza magari tajiri huku si mahali pakosasa kama ulikuwa na uwezo wa kuwapiga shaba na kuwalaza ndani kwanin ulete thread ya kuwalalamikia jf wakati una mamlaka/cheo/uwezo huo.
au ndo umekuja kukusanya maoni kwa kazi maalum?
🤣🤣🤣Nilimaanisha majukumu ya hapa na pale ambapo tunaweza kunywa bia pamoja na kupata supu pamoja, kunbuka kula pia ni mmoja ya majukumu kuuweka mwili sawa .
CCM ni chama chenye weledi.....Naona Membe karudi chamani 😅😅
💪🏾💪🏾 Membe alivyoondoka hata mimi niliuumia leo ngoja ninywe bia mbili kusherekea huyu mwamba kurudi 😅😅CCM ni chama chenye weledi.....
Alitubu Mh.Sophia Simba akasamehewa......
Mh.Kinana akasamehewa....
Mh.Ngeleja akasamehewa.....
Mh.January Makamba akasamehewa.....
El Comandante Comrade E.N.Lowassa akapokewa kwa SHANGWE NA VIGELEGELE.....🤣
Akitubu na kujirudi ni kwanini Comrade El Comandante B.C.M naye asisamehewe?!!!!
SIEMPRE CCM💪
[emoji23][emoji23] agent wa shetani huyuAmeingia kinyumenyume huyo.....[emoji1787]
Una venye chochote cha kunifanya nisipo prove?[emoji23][emoji23]Thibitisha [emoji28][emoji28][emoji28]
Anamtaka mweweBro pambana na njaa zako wivu hautakusaidia, we ukutane na vishoka useme wa nyeti sijui kaunda.kwanzaa umejuaje vitambulisho ulivyoonyeshwa ndo vya wenyewe...mi nasikia ni vya siri sa we umeajuaje vikoje vina alama ya Kunguru au?[emoji23][emoji23][emoji23]
Itakuwa wezi haoWengi Wametimuliwa Muda Mrefu Sana Hawapo Huko Tena
Amaaa!!Na wanakufa kwa umalaya na pombe
We nawe boya. Laki 3 kwa mwezi mzima plus kulazwa kwenye mbu na baridi nayo yakujitambia?Jinga lingine hili hapa, kwa comparison ya ajira za kitanzania wanajeshi wanapokea mishahara mizuri tu usidanganywe na mtu.
Hao Polisi unaowaona wanaendekeza njaa ukae ukijuwa, kila Polisi anapokea posho ya shilling laki tatu kila mwezi bila kujari cheo, na hii ni nje ya mishahara yao ambayo kila mtu analipwa kutokana na level yake.
Ongeza kidogo na TISS hili ni kwa full officers not assistant officer.We nawe boya. Laki 3 kwa mwezi mzima plus kulazwa kwenye mbu na baridi nayo yakujitambia?
Watu wanaingiza m3 kila siku na hawanaga mbwembwe!
Labda JW hayo majeshi mengine hapana bro.