Kwanini waumini Wa zama hizi wanaogopa Sana Teknilojia?

Kwanini waumini Wa zama hizi wanaogopa Sana Teknilojia?

Truths

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
1,494
Reaction score
1,504
Waumini WA zama hizi wamekua very pessimistic Sana linapokuja swala LA teknolojia.

Mfano tecnolojia ya micro chip. Ambapo inaweza kuwekwa kwenye mwili WA MTU na kusaidia mambo yafuatayo.
Asiweze kupotea,
taarifa za kibenki,
taarifa za hali yake kiafya
Nk.

Pia wapo wanaokataa vitabu vya dini kusomwa kupitia softcopy. Wakiwaza hardcopy Kama ndio vitabu sahihi.

Wako wanaoonyesha Shaka kwenye Electronic comunication ambapo kiongozi wa dini anahudumu kwa television, na kuitumia kuwafikia waumini wote waliombali kijiografia.

Yaani waumini Wa zama hizi wamekua hawamuoni Mungu kwenye hizi human achievements and endeavor Bali wanamuona shetani akijiinua. Wamekua waoga Sana.

Wapo wanaokataa mitindo ya maisha ya kisasa
Mfano kulipa sadaka na zaka kupitia AtM, banks, nk.

Wako wanaopingana na nguo za kisasa m. Kuzikubali zile nguo Zilizovakiwa karne za kwanza na zilizopitwa na wakati. Wakiziona ndio nguo takatifu.nk.

Wako wanaokataa tiba za kuwekewa damu, kubadili maumbile, watoto kuzaliwa kwa chupa, career mother(Gestational carrier) wanataka kila kitu kisibadilike kwa jinsi kilivyo. Hata Kama kinawaumiza wengine

Pia wako wanaokataa Ku adopt watoto..
Wako wanaoona hats michezo ni dhambi..

Kwa MTU asiye na Imani anawaona kama wasiopata elimu sahihi ya maana ya teknolojia.
 
Kiukweli mm nachukizwa na mashehe wanao sema Muziki ni washetani na ni dhambi wakati Kipaji aliyekiumba ni MUNGU MWENYEWE..
 
Kiukweli mm nachukizwa na mashehe wanao sema Muziki ni washetani na ni dhambi wakati Kipaji aliyekiumba ni MUNGU MWENYEWE..
Hayo si naneno ya masheikh bali wao hufikisha tu ujumbe.
 
Waumini WA zama hizi wamekua very pessimistic Sana linapokuja swala LA teknolojia.

Mfano tecnolojia ya micro chip. Ambapo inaweza kuwekwa kwenye mwili WA MTU na kusaidia mambo yafuatayo.
Asiweze kupotea,
taarifa za kibenki,
taarifa za hali yake kiafya
Nk.

Pia wapo wanaokataa vitabu vya dini kusomwa kupitia softcopy. Wakiwaza hardcopy Kama ndio vitabu sahihi.

Wako wanaoonyesha Shaka kwenye Electronic comunication ambapo kiongozi wa dini anahudumu kwa television, na kuitumia kuwafikia waumini wote waliombali kijiografia.

Yaani waumini Wa zama hizi wamekua hawamuoni Mungu kwenye hizi human achievements and endeavor Bali wanamuona shetani akijiinua. Wamekua waoga Sana.

Wapo wanaokataa mitindo ya maisha ya kisasa
Mfano kulipa sadaka na zaka kupitia AtM, banks, nk.

Wako wanaopingana na nguo za kisasa m. Kuzikubali zile nguo Zilizovakiwa karne za kwanza na zilizopitwa na wakati. Wakiziona ndio nguo takatifu.nk.

Wako wanaokataa tiba za kuwekewa damu, kubadili maumbile, watoto kuzaliwa kwa chupa, career mother, wanataka kila kitu kisibadilike kwa jinsi kilivyo. Hata Kama kinawaumiza wengine

Pia wako wanaokataa Ku adopt watoto..
Wako wanaoona hats michezo ni dhambi..

Kwa MTU asiye na Imani anawaona kama wasiopata elimu sahihi ya maana ya teknolojia.
Lakini mkuu hujataja hoja zao zenye kuwafanya wakatae hayo baadhi ya mambo uliyayataja,yawezekana wana sababu zao za msingi.
 
Waumini WA zama hizi wamekua very pessimistic Sana linapokuja swala LA teknolojia.

Mfano tecnolojia ya micro chip. Ambapo inaweza kuwekwa kwenye mwili WA MTU na kusaidia mambo yafuatayo.
Asiweze kupotea,
taarifa za kibenki,
taarifa za hali yake kiafya
Nk.

Pia wapo wanaokataa vitabu vya dini kusomwa kupitia softcopy. Wakiwaza hardcopy Kama ndio vitabu sahihi.

Wako wanaoonyesha Shaka kwenye Electronic comunication ambapo kiongozi wa dini anahudumu kwa television, na kuitumia kuwafikia waumini wote waliombali kijiografia.

Yaani waumini Wa zama hizi wamekua hawamuoni Mungu kwenye hizi human achievements and endeavor Bali wanamuona shetani akijiinua. Wamekua waoga Sana.

Wapo wanaokataa mitindo ya maisha ya kisasa
Mfano kulipa sadaka na zaka kupitia AtM, banks, nk.

Wako wanaopingana na nguo za kisasa m. Kuzikubali zile nguo Zilizovakiwa karne za kwanza na zilizopitwa na wakati. Wakiziona ndio nguo takatifu.nk.

Wako wanaokataa tiba za kuwekewa damu, kubadili maumbile, watoto kuzaliwa kwa chupa, career mother, wanataka kila kitu kisibadilike kwa jinsi kilivyo. Hata Kama kinawaumiza wengine

Pia wako wanaokataa Ku adopt watoto..
Wako wanaoona hats michezo ni dhambi..

Kwa MTU asiye na Imani anawaona kama wasiopata elimu sahihi ya maana ya teknolojia.

Mkuu naomba ufafanuzi hapo kwenye "Carrier Mother ".... Natamani kujua unamaanisha nini... kwa manufaa ya wengine pia. Asante
 
Waumini wenye mashaka na wasiwasi kuhusu sayansii na teknolojia wanaendeshwa na viongozi wao ambao wanatumia hofu kutawala mawazo na hisia za wafuasi wao
 
Waumini wenye mashaka na wasiwasi kuhusu sayansii na teknolojia wanaendeshwa na viongozi wao ambao wanatumia hofu kutawala mawazo na hisia za wafuasi wao
Mkuu waumini wangekuwa na mashaka na sayansi na teknoljia basi hata hospitali wasingeenda au hata simu tu wasingetumia kwa mawasiliano.
 
Kila kitu kina faida na hasara, kila kitu kina pande mbili. Hata maji tu ambayo ni chanzo cha uhai ukiyatumia vibaya ni dhambi na utakuwa unamtukuza shetani.

Na wengi wa waumini hao hawaelewi matumizi sahihi ya wanavyovikataza. Ndio maana hukimbilia kusema ni dhambi bila kujua....
 
Mkuu waumini wangekuwa na mashaka na sayansi na teknoljia basi hata hospitali wasingeenda au hata simu tu wasingetumia kwa mawasiliano.
Wengi hawaendi hospitali mkuu. Ndio maana wanaishia kudanganywa kuwa wanatolewa pepo. Nafahamu wachache pia hawataki kutumia simu.
 
Waumini WA zama hizi wamekua very pessimistic Sana linapokuja swala LA teknolojia.

Mfano tecnolojia ya micro chip. Ambapo inaweza kuwekwa kwenye mwili WA MTU na kusaidia mambo yafuatayo.
Asiweze kupotea,
taarifa za kibenki,
taarifa za hali yake kiafya
Nk.

Pia wapo wanaokataa vitabu vya dini kusomwa kupitia softcopy. Wakiwaza hardcopy Kama ndio vitabu sahihi.

Wako wanaoonyesha Shaka kwenye Electronic comunication ambapo kiongozi wa dini anahudumu kwa television, na kuitumia kuwafikia waumini wote waliombali kijiografia.

Yaani waumini Wa zama hizi wamekua hawamuoni Mungu kwenye hizi human achievements and endeavor Bali wanamuona shetani akijiinua. Wamekua waoga Sana.

Wapo wanaokataa mitindo ya maisha ya kisasa
Mfano kulipa sadaka na zaka kupitia AtM, banks, nk.

Wako wanaopingana na nguo za kisasa m. Kuzikubali zile nguo Zilizovakiwa karne za kwanza na zilizopitwa na wakati. Wakiziona ndio nguo takatifu.nk.

Wako wanaokataa tiba za kuwekewa damu, kubadili maumbile, watoto kuzaliwa kwa chupa, career mother, wanataka kila kitu kisibadilike kwa jinsi kilivyo. Hata Kama kinawaumiza wengine

Pia wako wanaokataa Ku adopt watoto..
Wako wanaoona hats michezo ni dhambi..

Kwa MTU asiye na Imani anawaona kama wasiopata elimu sahihi ya maana ya teknolojia.
Kama yupo shetani kwenye teknolojia na Mungu yupo kuziharibu kazi za shetani
 
Mkuu naomba ufafanuzi hapo kwenye "Carrier Mother ".... Natamani kujua unamaanisha nini... kwa manufaa ya wengine pia. Asante
Ni mama anayebeba mimba ya mwanamke mwingine kwa malipo.Anaingiziwa mbegu za mume Wa mtu bila kuliwa uroda
 
Wengi hawaendi hospitali mkuu. Ndio maana wanaishia kudanganywa kuwa wanatolewa pepo. Nafahamu wachache pia hawataki kutumia simu.
Unaposema wengi hawaendi hospitali una maanisha wagonja wengi tunaowaona mahospitali ni watu wasio na dini,hivyo sidhani kama utakuwa sahihi.
 
Back
Top Bottom