Truths
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,494
- 1,504
- Thread starter
- #21
Hii ni pale Ambapo huna uwezo wa kuzaa then unamlipa mwanamke pesa ndefu ili akubebee mimba. Iwe kwa kununua sperms kutoka sperm bank ama kwa mbegu na yai lako ama mimba yako vinatolewa na kupandikizwa kwa mwanamke mwingine.Mkuu naomba ufafanuzi hapo kwenye "Carrier Mother ".... Natamani kujua unamaanisha nini... kwa manufaa ya wengine pia. Asante
Mfano ni jinsi watoto wa Michale Jackson walivyopatikana wakina Prince na Paris.
Kwenye old times, yaani biblical times. Hii inaweza fanana kidogo na jinsi Sarai mke wa Abramu alivyotaka kupata mrithi wake kupitia Mwanamke Mtumwa aitwae Hagari. Ambapo Ishmaeli alizaliwa ili kua mrithi wa Sarai aliekua mgumba. Hapa hagari ali play kama carrier mother. Though hakubeba Yai la uzazi la Sarah. Na Mwenyezi Mungu akabariki mchakato wote
.