GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na kwa mfano kama ukija Kwangu GENTAMYCINE Muuza Majeneza na nikakuuzia unataka nikuambie neno gani zaidi ya Karibu tena?
Mnajua kabisa Mimi nafanya Biashara na moja ya Kanuni Kuu yoyote ya Mfanyabiashara ni kuwa na Customer Care hivyo nijuavyo hata ukija Kununua hilo Jeneza Kwangu ni lazima tu nitakuambia Karibu tena huku nikiwa Natabasamu kwa Bashasha zote.
Pole ya Kiubinadamu kutokana na huko Kufiwa Kwako nitakupa ila Kukuambia karibu tena uje Uchague na Ununue Jeneza / Majeneza Kwangu nitafanya hivyo.
Mnajua kabisa Mimi nafanya Biashara na moja ya Kanuni Kuu yoyote ya Mfanyabiashara ni kuwa na Customer Care hivyo nijuavyo hata ukija Kununua hilo Jeneza Kwangu ni lazima tu nitakuambia Karibu tena huku nikiwa Natabasamu kwa Bashasha zote.
Pole ya Kiubinadamu kutokana na huko Kufiwa Kwako nitakupa ila Kukuambia karibu tena uje Uchague na Ununue Jeneza / Majeneza Kwangu nitafanya hivyo.